Tuesday, May 13, 2008

NIMEKUJA KUWARITHISHA MIKOBA AKUDO IMPACT

Bozi Boaziana akiongea na waandishi wa habari katika uwanja wa kimataifa wa Mwalimu Nyerere mara baada ya kutua nchini jioni hii tayari kwa kukamua Ijumaa pale Diamond Jubilee na wana Akudo Impact.


Ni vijimkao vya mshindi wa shindano la Twanga Pepeta “ Kimwana wa Manywere’ 200/07 Anti Lulu akiwa kwenye Pikipiki katika shamrashamra za kumlaki Bozi Boziana leo
(picha zaidi nenda: www.globalpublisherstz.com/picha)

No comments: