Monday, June 16, 2014

SAUTI SOL WATIKISA TAMASHA LA ZIFF 2014

Na MOblog, Zanzibar
MOJA ya vitu ambavyo wazanzibari watakumbuka ni jinsi kundi la Kenya ambalo hivi karibuni liliibuka kundi bora katika MTV Base lilivyovamia jukwaa na kuendesha shoo ya saa moja na nusu iliyokuwa na uhakika.
Kundi hilo lenye watu watano wakiongozwa na mtia sauti Bien Baraza liliwaacha hoi wazanzibari waliofurika katika ukumbi wa Mambo uliopo ndani ya Ngome Kongwe na muziki wenye mahadhi ya Afro Pop.
Muziki huo ambao uliwateka vijana kutokana na midundo yake na maneno ya kuchombeza ulionesha kwanini MTV Base walisema ni kundi bora.
DSC_0134
Wanamuziki wa Bendi ya Sauti Sol kutoka nchini Kenya likiwasha moto kwenye tamasha la ZIFF 2014 usiku wa kuamkia leo visiwani Zanzibar. Pichani ni Bien Baraza (vocalist) na Willis Austin Chimano (vocalist) wakifanya yao jukwaani. (Picha zote na Zainul Mzige wa Dewjiblog).
DSC_0163
Bien Baraza (kushoto) na Willis Austin Chimano (kulia) wakitoa burudani kwenye jukwaa la ZIFF 2014.
DSC_0193
Polycarp Otieno (Quitar & Vocalist) akifanya yake ndani ya ZIFF 2014.Sauti Sol watikisa tamasha la ZIFF 2014
DSC_0158
Mpiga kinanda wa bendi ya Sauti Sol akifanya yake jukwaani.
DSC_0136
Delvine Mudigi (vocals percussion & drums) akichapa drum kwa staili ya aina yake kwa wapenzi wa Live Music ndani ya ZIFF 2014.
DSC_0048
DSC_0121
Meneja wa Sauti Sol na mchumba wake wakifurahia kazi ya vijana wao ndani ya ZIFF 2014.
DSC_0084
DSC_0087
DSC_0089
Umati wa watu ulijitokeza kwenye tamasha la ZIFF 2014 linaloendelea visiwani Zanzibar, umekosekana wewe tu unayesoma post hii.
DSC_0271
Delvine Mudigi (vocals percussion & drums) wa Sauti Sol akiwapa raha wapenzi wa ZIFF 2014....Wadada walichizikaje sasa na ilende hivi ...Nakuomba Baby Unishike (Nishike)....Unishike Mpenzi (Nishike)...Unishike (Nishike)...No No No No No No No No (Nishike)...Until You Say aaaaaaaaai...Until You Say aaaaaaaaai.
DSC_0267
DSC_0090
Proud of my boys....!The manager him self....Sauti Sol Manager.
DSC_0286
Warembo wakijianda kuosherehesha jukwaa na bendi ya Sauti Sol.
DSC_0290
Willis Austin Chimano akiwatambulisha warembo kwa mashabiki kabla ya kuonyesha ufundi wao.
DSC_0296
Mwanadada akichizika jukwaani.
DSC_0307
Mtasha nae akasema hata mimi naweza nimejaaliwa kidogo...Mashalaah..!
DSC_0311
Twende sasa....mpaka chini ......!
DSC_0313
zunguka zunguka....!!
DSC_0102
DSC_0232
Ooooooiiiiii Oooooiii mzuka mzuka.....! Mashabiki wakichiziki kwa kelele na miruzi ndani ya tamasha la ZIFF 2014.
DSC_0235
Raia wa kigeni wakichizika na burudani ya bendi ya Sauti Sol ndani ya viunga vya Ngome Kongwe kwenye ukumbi wa Mambo Club.
DSC_0245
Mpiga kinanda wa Bendi ya Sauti Sol akifanya yake.
DSC_0184
Has T akichuka matukio ya tamasha la ZIFF 2014.
DSC_0220
Twende kazi...sasa...halali mtu hapa!
DSC_0249
Warembo na swaggaz...!!
DSC_0250
DSC_0320
Ikifika ule wakati wa Ukodak na mashabiki waliohudhuria tamasha la ZIFF 2014 linaloendelea kwenye viunga vya Ngome Kongwe visiwani Zanzibar. Pichani ni warembo wakipozi na Ukodak.
DSC_0040
Model Khalid Balala akiwa kwenye ukodak na Miss Zanzibar.
DSC_0322
Warembo wakipata Ukodak na wasanii wa Sauti Sol.
DSC_0326
DSC_0331
DSC_0349
Wadau waliopata tenda ya kutoa huduma za vinywaji vya aina zote ndani ya viunga vya Ngome Kongwe ukumbi wa Mambo Club wakipozi kwa UKODAK. Kutoka kushoto ni Joyce Joseph, Lucy Charles (Madam Boss Lady) na Winiefrida Nkwera.
DSC_0355
Edwin Fanuel a.k.a mtaalam wa Cocktail (katikati) Dida Shekha (kushoto) na Winiefrida Nkwera.
DSC_0020
Meneja wa Tamasha la ZIFF, Daniel Nyalusi "Dean" (kulia) akishow love na wadau kutoka DSM waliokuja kushuhudia performance ya bendi ya Sauti Sol.

No comments: