Wednesday, August 24, 2016

Tigo yakabidhi madawati ndani ya msimu wa fiesta wilayani Kahama

Mkurugenzi  wa Tigo kanda ya Ziwa Ally Maswanya (kushoto) akimkabidhi madawati Mkuu wa wilaya ya Kahama  Fadhili Nkulu kwenye hafla iliyofanyika
ukumbi wa Halmashauri ya Kahama Mjini. Jumla ya madawati 235 yalitolewa kwa shule za wilayani humo ndani ya msimu huu wa fiesta.
Wanafunzi  wa shule ya Msingi Mungula wakiwa wamekaa kwenye madawati baada ya kuyapokea madawati 235 kutoka kwa Kampuni ya Tigo Wilayani Kahama mkoani Shinyanga

Mkurugenzi  wa Tigo kanda ya Ziwa Ally Maswanya (wa kwanza kulia ) akiwa amekaa kwenye madawati baada ya makabadhiano anayefuatia ni  Mkuu wa wilaya ya Kahama  Fadhili Nkulu kwenye hafla iliyofanyika ukumbi wa Halmashauri ya Kahama Mjini. Jumla ya madawati 235 yalitolewa kwa shule za wilayani humo ndani ya msimu huu wa fiesta.




No comments: