Sunday, December 25, 2016

MCHUNGAJI JOSEPHINE MILLER KUTOKA MAREKANI AZUNGUMZIA SIKUKUU

Mchungaji Josephine Miller (kushoto) kutoka nchini Marekani, akizungumza na George Binagi (kulia), baada ya kuhitimisha mafundisho na mahubiri ya juma zima katika Kanisa la
EAGT Lumala Mpya hii leo.

Amesema Krismasi ni msimu muhimu si tu kwa Amerika bali pia kote ulimwenguni hususani kwa wote wanaomwamini Yesu Kristo aliyezaliwa Bethlehem. Anasema kuzaliwa kwa Yesu Kristo ilikuwa ni zawadi kutoka kwa Mungu kwa ajili yetu.

Amewatia moyo watanzania kumwamini Mungu kwani yuko pamoja nao, bila kujalisha hali yoyote ile waliyonayo ikiwemo kiuchumi.
Bonyeza HAPA Au play kusikiliza

No comments: