Sunday, December 11, 2016

Naibu Waziri Ofisi ya Makumu wa Rais Muungano na Mazingira Luhaga Mpina Atembelea Kituo cha Ujasiriamali

 
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. Luhaga Mpina akimksikiliza Mkurungenzi wa Kituo cha Ujasiriamali Kutengeneza Nafasi za Kibiashara kwa Vijana Zanzibar Ndg, Ameir Sheha akitowa maelezo kwa Naibu Waziri alipowasili katika viwanja vya Kituo hicho huko Mbweni Zanzibar wakati wa ziara yake Zanzibar. 
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. Luhaga Mpina akimsikiliza Mtaalamu Ufundi wa Kituo hicho
Dr. Rajeev Aggrwal akitowa maelezo ya mafunzo kwa Vijana wanaojiunga na Kituo hicho kupata Elimu ya Ujasiriamali na baadae kujiajiri mwenyewe baada ya kupata ujenzi kupitia kituo hicho, kilioko katika majengo ya Chuo cha Karume Mbweni Zanzibar.
Naibu Waziri Ofisi wa Makamu wa Rais Muungano na Mazingira akipitia ripoti ya Kituo hicho baada ya kupata maelezo kutoka kwa Wataalamu wa Kituo hicho wakati wa ziara yake Zanzibar kutembelea Taasisi mbalimbali.     
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. Mpina akiwa na Mkurugenzi Mkuu wa Kituo cha Kukuza Ujasiriamali Kutengeneza Nafasi za Kibiashara kwa Vijana Ndg. Ameir Sheha, akimtembeza katika Kituo hicho kujionea shughuli zinazofanywa kutowa mafunzo kwa Vijana wanaojiunga kupata mafunzo ya ujasiriamali. 
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe Luhaga Mpina akimsikiliza mwanafunzi wa Kituo hicho Maryam Omar akitowa maelezo ya utengenezaji wa sabuni na mafuta mafunzo wanayoyapata kupitia Kituo hicho kwa sasa kina Vijana 700 wanapata mafunzo ya Ujasiriamali Zanzibar.
Mwanafunzi wa Kituo cha Ujasiriamali Mbweni Maryam Omar akitowa maelezo ya jinsi ya utengenezaji wa bidhaa zitokanazo na maziwa, Samli. Siagi na Chizi ni moja ya mafunzo yanayotolea Kituoni Hapo. 
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe Luhaga Mpina akiangalia moja ya bidhaa zinazotengenezwa na Vijana katika Kituo hicho.
W


Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe Luhaga Mpina akitembelea Kituo cha Ujasiriamali Mbweni Zanzibar akiwa na Mkurugenzi wa Kituo hicho Ndg Ameir Sheha.
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira akipata maelezo kutoka kwa Kijana anayepata mafunzo kituo hicho jinsi ya kutengeneza mishumaa 
Baadhi ya Bidhaa zainazozalishwa katika Kituo hicho cha Kukuza Ujasiriamali Kutengeneza Nafasi za Kibiashara kwa Vijana Mbweni Zanzibar, hizo bidha za mishumaa.

Imetayarishwa na OthmanMapara.Blog.
 Zanzinews.com 
othmanmaulid@gmail.com
 0777424152 or 0715424152. 

No comments: