Wednesday, April 5, 2017

JUMUIA YA WAZAZI ILALA WAANZA MAADHIMISHO LEO

 Aliyekuwa Katibu wa Jumuia ya Wazazi mkoa wa Dar es Salaam, Stanley Mkandawile ambaye sasa ameteuliwa kuwa Katibu wa CCM wilaya ya Lindi Mjini, akizungumza maneno ya Utangulizi, baada ya kupokewa na Mwangalizi Msaidizi wa Kituo cha Kulea Wazee wasiojiweza kilichopo Msimbazi Centre, Dar es Salaam, Sista Angelina (kushoto), wakati viongozi mbalimbali wa Jumuia hiyo walipofika kwenye kituo hichp ili kusalimia wazee haoa na pia kuwazazidia vitu
mbalimbali ikiwemo nguo, ikiwa ni sehemu za kuanza maadhimisho ya Siku ya Jumuia ya Wazazi ambayo kilele chake kitakuwa Machi 8, 2017 mjini Bukoba. Kulia ni Katibu wa CCM wilaya ya Ilala Lugano Mwafongo
 Wakiendelea kufanya utambulisho
 Msimamizi wa Kituo cha Kutunza Wazee wasiojiweza cha Msimbazi Centre, Sista Wilibroda Mangwangi akisalimiana na Mkandawile alipowasili ili kkabidhiwa misaada
 Msimamizi wa Kituo cha Kutunza Wazee wasiojiweza cha Msimbazi Centre, Sista Wilibroda Mangwangi akisalimiana na Katibu wa Jumuia ya Wazazi Ilala Lugano Mwafongo,
 Msimamizi wa Kituo cha Kutunza Wazee wasiojiweza cha Msimbazi Centre, Sista Wilibroda Mangwangi akiendelea kusalimia
 Msimamizi wa Kituo cha Kutunza Wazee wasiojiweza cha Msimbazi Centre, Sista Wilibroda Mangwangi akiendelea kusalimia
 Msimamizi wa Kituo cha Kutunza Wazee wasiojiweza cha Msimbazi Centre, Sista Wilibroda Mangwangi akiendelea kusalimia
 Msimamizi wa Kituo cha Kutunza Wazee wasiojiweza cha Msimbazi Centre, Sista Wilibroda Mangwangi akiendelea kusalimia
 Masista hao wakapiga picha ya kumbukumbi na baadhi ya viongozi hao
 Picha ya pamoja msafara mzima na masista hao
 Mwafongo akizungumza tayari kuanza kukabidhi misaada kwa Sista huyo
 Viongozi waakanza kumkbidhi zawadi.Wapili kushoto ni Mkandawile na furushi la nguo
 Akakabidhi
 Kukabidhi kukaendelea
 Kukabidhi kukaendelea
 Mkandawile akimsalimia mmoja wa Wazee wanaolelewa kwenye kituo hicho
 Naam wakimsalimia kwa bashasha
 CCM Oiyeee, Wakamwambia
 Wakimsalimia Mzee mwingine mwenye umri unaokadiriwa kuwa tisini ambaye analelewa na kituo hicho
 Wakampa zawadi
 Byeee, Mkandawile akimuaga Mzee huyo
 Karibuni jena jamami. Mzee kwenye kituo hicho akisema 
Kila mmoja akijitahidi kuwaliwaza wazee hao. mwishoni Viongozi hao wameagidi kujikusanya na kutoa msaada wa dawa kwa ajili ya wazee kwenye kituo hicho. PICHA ZOTE NA BASHIR NKOROMO

No comments: