Pages

Saturday, September 12, 2009

NI NANI HUYU?




Huyu ni mwanadada maarufu Bongo na ni miongoni mwa wanawake wanaotawala sana Media. Kwa sasa yuko nchini Marekani kwa 'vekesheni' maalum, can somebody tell me WHO IS THIS GIRL?

21 comments:

  1. huyu ni Shyrose Banji ndugu yangu kwa mimi nilivyovuta taswira ya picha hii kwa haraka

    ReplyDelete
  2. huyu ni yule Shyrose Banji kwa mimi nilivyovuta taswira ya picha hii kwa haraka

    ReplyDelete
  3. huyu ni mtoto wa kisuma pale mwanza anaitwa shyrose feance wa jafar

    ReplyDelete
  4. Ni Shyrose Banji. Ni mjumbe wa NEC pia.

    ReplyDelete
  5. pole na kazi,naomba mnitafutie msanii sinta

    ReplyDelete
  6. huyu ni shyrose bhanji mhh kapendeza!!! Ila huyo jamaa kachemka shyrose hana usukuma bwana asili yake ni mara. wa2 wengine bwana kutafuta sifa tu kama hujui vitu kwanini unakurupuka?

    ReplyDelete
  7. mbona mimi nasikia ni baniani huyu?

    ReplyDelete
  8. mbona mimi nasikia ni baniani huyu?

    ReplyDelete
  9. wrong Qn,she is not a girl,she is old enough. Shyrose B

    ReplyDelete
  10. Huyu ni Shy-Rose Bhanji

    ReplyDelete
  11. huyu mrembo ni shyrose bhanji...mhh siyo siri kapendeza ...mdau LA.

    ReplyDelete
  12. THE GAL IS SHY-ROSE BHANJI. SHE IS FIIIIIIIIINE

    ReplyDelete
  13. LAZIMA ATAKUWA SHYROSE HUYU...LIKIZO KWELI NZURI ANAONEKANA KATULIA..HONGERA MREMBO

    ReplyDelete
  14. this gal must be shyrose bhanji namuonaga sana kwenye media. S

    ReplyDelete
  15. swali limeulizwa huyu ni nani? mwingine anajibu mara oh ni msukuma ni fiacee wa jafarai inahusu? kama ungekuwa mtihani kweli rafiki ungefeli...unapoulizwa swali jaribu kujibu unachoulizwa ndugu yangu. Nasema hivi kwa vile watu wengi nimeona wanafuatilia sana maisha yake ya ndani haihusu

    ReplyDelete
  16. huyu ni shyrose wa bhanji, mtoto matata sana huyu. very strong lady, kapendeza juu mpaka chini c mchezo babake!!!

    ReplyDelete
  17. Siyo mjumbe wa NEC ni mjumbe wa baraza kuu la UVCCM na uwt.

    ReplyDelete
  18. Shy-Rose huyu sizani kama kuna mtu hamfahamu kazi yake nzuri anajitahidi sana

    ReplyDelete
  19. Asili yake kamili ni point 5. 50% indian na 50 ingine mbongo wa mara ndio maana katoka mzuri kiivyo

    ReplyDelete
  20. Likizo njema Shy-Rose asante kwa kutuhabarisha. Nyote yako inang`aa ndio maana unapendwa na kuchukiwa @ the same tyme. Kiukweli wengi wanakukubali ila hawataki kusema ukweli. Orange country, CA

    ReplyDelete