Mambo yanakuwa magumu nchini mwao baada ya jeshi la polisi nchini hiyo kuwashitukia na kuanzsha msako mkali wa kuwatia nguvuni. Wanaona mambo magumu wanaamua kukimbia nchi na kuingia nchini kwa kificho.
Wanajibadilisha na kujifanya walala hoi, hawana kitu, wanavaa nguo chafu chafu na wanaishi kijimbu cha uswahilini huku wakijifanya wauza magazeti. Humo wanahifadhi baadahi ya siliha walizoingia nazo nchini na madawa ya kulevya, wanaaza kutafuta wateja taratibu na hatimaye wanapata wanunuzi wa madawa yao na hapo ndipo asakari wa Bongo wanaanza kufuatilia nyendo zao......

No comments:
Post a Comment