Mgombea
 Urais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Dkt Mohamed Shein akimnadi 
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya chama cha
 Mapinduzi CCM Dkt John Pombe Magufuli mbele ya maelfu ya wananchi 
waliohudhuria mkutano wa kampeni uliofanyika katika viwanja vya Mnazi 
Mmoja,kisiwani Unguja jioni ya leo.
Dkt Shein emebainisha wazi kwenye mkutano huo wa kampeni kuwa Dkt Magufuli ni mtu sahihi na anatosha kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,amesema kuwa iwapo atachaguliwa kuwa Rais wa awamu ya tano atashirikiana nae kwa kila jambo kuhakikisha Tanzania inapiga hatua zaidi kimaendeleo.
Dkt Shein emebainisha wazi kwenye mkutano huo wa kampeni kuwa Dkt Magufuli ni mtu sahihi na anatosha kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,amesema kuwa iwapo atachaguliwa kuwa Rais wa awamu ya tano atashirikiana nae kwa kila jambo kuhakikisha Tanzania inapiga hatua zaidi kimaendeleo.
Sehemu
 ya umati wa wakazi wa Kisiwani Unguja na vitongoji vyake wakiwa 
wamejitokeza kwa wingi katika mkutano wa kampeni uliofanyika katika 
viwanja vya Mnazi Mmoja mjini humo,ambapo Mgombea Urasi wa Jamhuri ya 
Muungano wa Tanzania kupitia chama cha CCM Dkt John Pombe Magufui 
aliwahutubia.
Mgombea
 Urais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Dkt Mohamed Shein 
akimsikiliza kwa makini Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
 kwa tiketi ya chama cha Mapinduzi CCM Dkt John Pombe Magufuli kabla ya 
kupanda jukwaani na kuwahutubia maelfu ya wakazi wa kisiwani Unguja 
kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika katika viwanja vya Mnazi 
Mmoja,kisiwani humo.
Mgombea
 Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya chama cha 
Mapinduzi CCM Dkt John Pombe Magufuli akihutubia maelfu ya wananchi 
waliohudhuria mkutano wa kampeni uliofanyika katika viwanja vya Mnazi 
Mmoja,kisiwani Unguja jioni ya leo.
Rais
 Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ,Mh Al Hassan Mwinyi  
akiwahutubia Wananchi (hawapo pichani) ,kwenye mkutano wa kampeni 
uliofanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja,kisiwani Unguja jioni ya leo.
Mwenyekiti
 wa CCM Mkoa wa Mjini,Ndugu Boraafya Silima akizungumza machache kwenye 
mkutano wa kampeni kabla ya kumkaribisha Mgombea Urais wa CCM Dkt 
Magufuli kuwahutubia wananchi wa kisiwani Unguja.
Nyomi la wakazi wa Kisiwani Unguja ndani ya mkutano wa kampeni.
Sehemu ya umati wa wakazi wa kisiwani Unguja na vitongoji vyake wakiwa  wamekusanyika kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja,kisiwani Unguja jioni ya leo.
Baadhi ya Wafuasi wa chama hicho wakishangilia jambo kwenye mkutano wa kampeni wa Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli
Wadau wakifuatilia mkutano wa kampeni ndani ya uwanja wa Mnaji Mmoja kisiwani Unguja.
Rais
 Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ,Mh Al Hassan Mwinyi  
akiwahutubia Wananchi (hawapo pichani) ,kwenye mkutano wa kampeni 
uliofanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja,kisiwani Unguja jioni ya leo.
wakifuatilia mkutano wa kampeni.
Mgombea
 Urais wa Jamhuri ya Muungano Dkt Jonh Pombe Magufuli akiwapungia 
wananchi wa Kisiwani Unguja (hawapo pichani),alipokuwa akiwasili kwenye 
mkutano wa kampeni katika viwanja vya Mnazi Mmoja mjini humo.
Balozi
 Seif Ali Iddi akiwahutubia wananchi wa Kisiwani Unguja kwenye mkutano 
wa kampeni uliofanyika katika viwanja vya Mnazi mmoja.
Baadhi ya Wafuasi wa chama hicho wakifurahia jambo kwenye mkutano wa kampeni wa Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli
Sehemu ya umati wa wakazi wa kisiwani Unguja na vitongoji vyake wakiwa  wamekusanyika kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja,kisiwani Unguja jioni ya leo.
Wananchi wa Kisiwani Unguja wakifuatilia mkutano wa kampeni ndani ya viwanja vya Mnazi Mmoja.
PICHA ZOTE NA MICHUZI JR-KISIWANI UNGUJA.
PICHA ZOTE NA MICHUZI JR-KISIWANI UNGUJA.
 
 





















 
 
No comments:
Post a Comment