Tuesday, October 30, 2007

WAZIRI MKUU

Waziri Mkuu, Edward Lowassa akiongozwa na Naibu Katibu Mkuu wa CCM, Jaka Mwambi (kulia) kukagua maadalizi ya ukumbi wa Kizota mjini Dodoma jana, utakapofanyika mkutano mkuu wa CCM mwishoni mwa wiki. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments: