Mkurugenzi wa Masoko wa Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL), Ephraim Mafuru (wa pili kulia) akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam. Pamoja naye ni Meneja Masoko wa SBL, Allan Chonjo (wa pili kushoto). Mkurugenzi wa Masoko wa Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL), Ephraim Mafuru (wa kwanza kulia) akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam. Allan Chonjo (wa pili kushoto) akizungumza na wanahabari leo
Shamrashamra ya Uzinduzi wa promosheni ya Shinda safari kwenda nchini Brazil,kupitia Bia ya Serenget Baadhi ya mabalozi wa Bia ya Serengeti wakionesha shoo kwa wananchi baada ya uzinduzi wa Shinda safari kwenda nchini Brazil,
Baadhi ya wafanyakazi wa SBL na wananchi wakishuhudia Uzinduzi wa promosheni hiyo
No comments:
Post a Comment