Mwananchi wakiangalia ajali ya Noah yenye namba za usajili T 367 DAK iliyoacha njia na kutumbukia kwenye mtaro jirani na Kanisa la Mtakatifu Joseph, Bandarini Dar es Salaam jana asubuhi.
Noa ikiwa mtaroni. Chanzo cha ajali hiyo hakikuweza kufahamika.
No comments:
Post a Comment