Mapokezi ya Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman
Kinana katika wilaya ya Butiama Mkoani
Mara.
Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akikaribishwa wilaya ya Butiama na Mkuu wa
wilaya hiyo Angeline Mabula
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwasalimu wananchi waliokuja kumpokea wakati anawasili kwenye wilaya ya Butiama.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akitoa heshima katika kaburi la Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na mtoto wa kwanza wa Baba wa
Taifa Mwalimu Julius Kambarage anayefahamika kwa jina la Andrew nyumbani kwa
Baba wa Taifa Butiama,kushoto pichani ni Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye.
Katibu Mkuu wa CCM Taifa akisalimiana na mdogo wa Mwalimu
Nyerere ,Daniel Nyerere walipokutana kwenye kikao cha Balozi wa shina namba 12
tawi la Butiama.
No comments:
Post a Comment