Monday, September 23, 2013

IARA YA KINANA BUTIAMA

Mapokezi  ya Katibu Mkuu wa CCM  Ndugu Abdulrahman Kinana  katika wilaya ya Butiama Mkoani Mara.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akikaribishwa wilaya ya Butiama na Mkuu wa wilaya hiyo Angeline Mabula
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwasalimu wananchi waliokuja kumpokea wakati anawasili kwenye wilaya ya Butiama.
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akitoa heshima katika kaburi la Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na mtoto wa kwanza wa Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage anayefahamika kwa jina la Andrew nyumbani kwa Baba wa Taifa Butiama,kushoto pichani ni Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi  Nape Nnauye.
Katibu Mkuu wa CCM Taifa akisalimiana na mdogo wa Mwalimu Nyerere ,Daniel Nyerere walipokutana kwenye kikao cha Balozi wa shina namba 12 tawi la Butiama.

No comments: