Tuesday, October 17, 2017

Wasanii watembelea duka la Tigo jijini Mbeya

Wasanii Jux na Mimi wakimkabidhi mteja wa Tigo, Tumaini Mwikanalo zawadi kwenye duka la Tigo jijini Mbeya.

Mtoa huduma akipiga picha 'selfie' na wasanii Dogo Janja na Ben Pol.

Ben Pol akiangalia simu dukani halo.

Msanii wa bongo fleva STAMINA akipokea simu smartphone aliyonunua kwenye duka la Tigo jijini Mbeya toka kwa mtoa huduma wa Tigo Mohammed Musa jana. Hii ni sehemu ya punguzo litolewalo ndani ya msimu huu wa Tigo Fiesta.

No comments: