Saturday, October 21, 2017

WAZIRI WA MALIASILI DKT. KIGWANGALLA AWASILI DODOMA, ATETA NA WATUMISHI


Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Hamisi Kigwangwalla akikaribishwa wizani hapo


Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Hamisi Kigwangwalla akisaini kitabu cha wageni alipowasili ofisini hapo.

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Japhet Hasunga akisaini kitabu cha wageni wageni kwa Ofisi ya Waziri wa Wizara hiyo katika Makao makuu ya Wizara ya Maliasili na Utalii eneo la Kilimani Barabara ya askari mjini Dodoma. kushoto ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt.Aloyce Nzuki.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na utalii, Mej. Jen. Gaudence Milanzi akizungumza na Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Hamisi Kigwangwalla wakati alipowasili ofisini hapo Makao makuu ya Wizara ya Maliasili na Utalii eneo la Kilimani Barabara ya askari mjini Dodoma.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na utalii, Mej. Jen. Gaudence Milanzi akimtembeza kwenye viunga vya Wizara hiyo Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Hamisi Kigwangwalla. Wengine watendaji wakuu wa wizara.

Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Hamisi Kigwangwalla akiwa na Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Japhet Hasunga wakiteta jambo baada ya kuzungumza na Watumishi katika Makao makuu ya Wizara ya Maliasili na Utalii eneo la Kilimani Barabara ya askari mjini Dodoma.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na utalii, Mej. Jen. Gaudence Milanzi akimkaribisha Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Hamisi Kigwangwalla katika mkutano huo.

Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini cha Wizara ya Maliasili na Utalii, Dorina Makaya akitoa neno la shukrani mara baada ya Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Hamisi Kigwangwalla kumaliza kuzungumza na Watumishi wa makao Makuu mjini Dodoma.
Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Hamisi Kigwangwalla ( katikati ) akizungumza na Watumishi na Wakuu wa Taasisi zilizo chini ya Wizara ya Maliasili na Utalii mara baada kuwasili kwa mara kwanza katika Makao makuu ya Wizara ya Maliasili na Utalii eneo la Kilimani Barabara ya askari mjini Dodoma.

No comments: