Kevin Lyttle akiwa kazini kwenye tamasha la Fiesta usiku wa kuamkia leo Leaders Club...!
Mzee Mzima Koffi 'akiwajibika' usiku wa kuakia leo, pale Leaders Club Dar, kwenye Fiesta 2007 kukiwa na nyomi za kufa mtu kama ilivyoada!
Kevin Lyttle akiwa kazini kwenye tamasha la Fiesta usiku wa kuamkia leo Leaders Club...!
Mzee Mzima Koffi 'akiwajibika' usiku wa kuakia leo, pale Leaders Club Dar, kwenye Fiesta 2007 kukiwa na nyomi za kufa mtu kama ilivyoada!
3 comments:
lol, dah kweli tembea uone.
bongo kaazi kweli kweli!! mtandao huu unalipa, endele kutupa vitu adimu!
mzee sio kweli kwamba akudo wanatishia ajira ya fm academia wapo juu. hata mzee mzima walimfunika kwenye fiesta. MASU
Post a Comment