wewe wema hajamuacha kanumba ila kanumba ndiyo kampiga chini wema kwasababu ya tabia mbaya ya wema...kwanza wema sio class ya kanumba,kanumba yuko juu sana tunampenda...mwigizaji wa kimataifa na ni handsome kinoma..
huyu jamaa yuko juu kuliko mwigizaji yoyote nchini tz na ana wapenzi wengi kuliko msanii yoyote tz hata huku london tunamkubari na kumpenda sana kanumba pia ni mtanashati good loverboy...
9 comments:
hawana kazi hawa..
sasa huu u great ni wa nini?
is the gud actor
Kanumba bwana ndio maana umeachwa na Wema kwaajili ya Ushamba wako.Kuwa mjanja mwana wane.
wewe wema hajamuacha kanumba ila kanumba ndiyo kampiga chini wema kwasababu ya tabia mbaya ya wema...kwanza wema sio class ya kanumba,kanumba yuko juu sana tunampenda...mwigizaji wa kimataifa na ni handsome kinoma..
huyu jamaa yuko juu kuliko mwigizaji yoyote nchini tz na ana wapenzi wengi kuliko msanii yoyote tz hata huku london tunamkubari na kumpenda sana kanumba pia ni mtanashati good loverboy...
JAMANI MNATAKA KUNIAMBIA KANUMBA ANAMILIKI HILO GARIIIIIIII????????KWELI THA GUY IS GREAT..KEEP IT UP KANUMBA
I LOVE U KANUMBA....U VE A NICE CAR.....
anajitahidi kwenye acting,lakini naona kama bado mshamba mshamba,sasa hivyo viatu vyeupe hapo vinakujaje?
Post a Comment