Monday, August 13, 2007

CHAHALI AJIBU!

DEAR ABDALLAH MRISHO (General Manager,Global Publishers),

DEAR SALUM MNETTE(Editor,RISASI Newspaper)

DEAR TULIZO KILAGA (Sub-Editor,Global Publishers),



LET ME SET THE RECORD STRAIGHT.THE FOLLOWING PARAGRAPH,WHICH APPEARED ON AUG 8,2007 IN MY COLUMN IN A DAILY PAPER“KULIKONI,” AND A POST IN MY BLOG (http://chahali.blogspot.com/2007/08/kulikoni-ughaibuni-74.html) COULD HELP IN SHADING A LIGHT ON WHO SPEAKS THE TRUTH IN THE ON-GOING BROUHAHA.IT READS AS FOLLOWS :

Jingine lililonikera ni gazeti la RISASI ambalo katika toleo lake la Julai18-20 lilikuwa na habari kwamba “Warembo TZ wapiga picha za X tupu…zasambazwa mitaani,baadhi yao ni washiriki wa kusaka mataji ya u-miss.” Kinachosikitisha sio kama iwapo habari hiyo ni ya kweli au ya kubuni bali ni picha zilizotumika kwenye habari hiyo.Rafiki yangu mmoja aliyeko Marekani amenifahamisha kuwa wasichana walioko kwenye picha hizo ni wacheza filamu za ngono (porn stars) wa Marekani na wala sio Watanzania.Kwa kuthibitisha alichokuwa anasema,alinipatia tovuti ambazo zina picha za Wamarekani hao weusi.Kama picha zilizotumiwa na RISASI ni feki basi yayumkinika kusema kuwa hata habari yenyewe ni feki.Hivi ni uzembe wa mhariri kucheki ukweli wa habari husika au ndio kuwafanya Watanzania wajinga kwa kuwapa habari “sensational” ambazo hazina ukweli?Nyie ni watu wazima ambao mmeshatengeneza faida ya kutosha kwa kuandika udaku lukuki wa kweli,sasa tamaa ya nini hadi mfikie hatua ya kunyofoa mapicha kwenye mtandao na kuzusha habari?Shame on you!

IF YOU READ CAREFULLY BETWEEN LINES YOU WILL UNDOUBTEDLY UNDERSTAND THAT I WASN’T ACTUALLY CONTESTING CREDIBILITY OF YOUR STORY BUT RATHER AUTHENTICITY OF THE PICTURES ACCOMPANYING THE STORY (refer to the first underlining).I ALSO MADE IT CLEAR THAT BEFORE CRITICISING YOU IN “KULIKONI”,I DID CHECK THE PHOTOS’ LINKS I WAS SENT BY MY FRIEND,AND IT’S ONLY WHEN I WAS 105% SATISFIED THAT YOU INTENDED TO DECEIVE YOUR READERS BY USING FAKE PICTURES FROM THE INTERNET,THAT I DECIDED TO INCLUDE THAT MATTER IN MY COLUMN. YOU DON’T EVEN HAVE TO HOLD A SHORT COURSE CERTIFICATE IN JOURNALISM TO UNDERSTAND THAT BY USING DOCTORED,ENGINEERED OR FAKE PICTURES IN A STORY YOU SURELY JEOPARDIZE IT’S,AND THEREFORE YOUR PAPER’S,CREDIBILITY.SOME OF THE LINKS,WHICH I DIDN’T INCLUDE IN MY ARTICLE DUE TO THEIR EXPLICIT NATURE,ARE AS FOLLOWS:

http://www.wannawatch.com/hosted/index.php?wsc/xnxxporn/tinysblackadventures63
http://www.wannawatch.com/hosted/index.php?wsc/xnxxporn/tinysblackadventures75
http://www.bikinidream.net/gals/glam0049/15.jpg
http://www.bikinidream.net/gals/glam0049/index.php?id=110154

NOW LET’S GO BACK TO YOUR STORY IN RISASI (http://abdallahmrisho.blogspot.com/2007/07/wabongo-na-picha-za-x.html ).YOU CLAIMED “Warembo wa Tanzania waliojitambulisha kwa jina moja moja la Amina, Janie na Candy wamepiga picha za utupu (x) na kuzisambaza sehemu mbalimbali za jiji la Dar es Salaam IMPLYING THAT IT’S THE SAID TRIO WHO INTRODUCED THEMSELVES TO YOU,AND FOR THAT MATTER IT GOES WITHOUT SAYING THAT YOU NEVER HAD A CHANCE TO PROVE WHETHER THEY WERE REALLY THE ONES IN THE PICTURES YOU HAD OR THEY WERE JUST USING THEM FOR COMMERCIAL PURPOSES.YOU WENT ON CLAIMING THAT “Kwa upande mwingine gazeti hili liliamua kufungua mitandao iliyoainishwa katika picha hizo na kukuta mambo ya kusikitisha. BUT IF YOU WERE CAREFULLY ENOUGH YOU’D HAVE EASILY NOTICED THAT AT http://swallowmyjuice.hi5.com/ THERE WAS NO AMINA,JANIE OR CANDY.THE PAGE BELONGS TO SOMEONE CALLING HERSELF “MELANIE,” BUT THAT’S,IN FACT,LORI ALEXIA’S PICTURE.JUST GOOGLE THE NAME AND YOU’LL SURELY DISCOVER THAT SHE’S NOT A TANZANIAN BUT AN AMERICAN OF BARBADOS ORIGIN.FURTHERMORE YOU WROTE THATKatika mitandao hiyo warembo hao wameweka bei za huduma wanazozitoa na pindi mteja anapokubaliana nazo humtumia picha mbalimbali za utupu ili kumshawishi BUT IN MELANIE’S (LORI) PAGE THERE’S NO SUCH INFORMATION (“bei za huduma”).MOREOVER,THE GIRLS ARE USING THE NAMES MELANIE,GRACE AND SUSSANE (WHO CLAIMS TO BE,NOT A TANZANIAN,BUT A UGANDAN BISEXUAL FROM KAMPALA),AND NOT AMINA,JANIE OR CANDY AS YOU SENSATIONALLY ASSERTED.

IN YOUR “TAARIFA MAALUM KWA CHAHALI,GAZETI LA KULIKONI” (http://abdallahmrisho.blogspot.com/2007/08/taarifa-maalum-kwa-chahali-gazeti-la.html) YOU CHARGED THAT “Tunapenda kumfahamisha Chahali kuwa sisi hatuna haja ya kutunga habari ‘sensational’ wakati hizo zipo nyingi katika jamii tunayoishi na kama yeye hazijui haina maana kuwa hazipo. Hivi inawezekana kweli yeye tu ndiye awe ameiona habari ile ni ya uongo miongoni mwa mamilioni ya Watanzania wa ndani na nje ya nchi walioisoma?” IT’S THE UNDERLINED SENTENCE THAT MADE ME WONDER WHETHER YOU WERE REALLY SERIOUS OR SIMPLY KIDDING WHEN WRITING THE “TAARIFA MAALUM.” HOW ON EARTH DID YOUR KNOW THAT MILLIONS OF TANZANIANS WHO READ THE STORY DID ACTUALLY BUY (BELIEVE) IT?IT TOOK ME ABOUT THREE SOLID WEEKS TO COMMENT IN MY COLUMN ABOUT THE PHOTOS WHICH ACCOMPANIED YOUR STORY.WHY ALL THAT LONG?SIMPLY BECAUSE I ONLY CRITICIZE WHEN I HAVE ENOUGH EVIDENCE THAT MY SUBJECT TRULY DESERVE SUCH CRITICISM.AS TO WHY DIDN’T OTHER “MILLIONS OF TANZANIA” REACT THE WAY I DID,SIMPLE REASON MIGHT BE THEY JUST IGNORED IT,OR SOME WERE,TOO, TRYING TO ESTABLISH THE FACTS BEFORE CRITICIZING YOU (ONE HAS TO,BECAUSE YOU DON’T SEEM TO TAKE ANY SORT OF CRITICISM “LIGHTLY.”).SILENCE DOESN’T ALWAYS NECESSARILY MEAN INACTION.

ALTHOUGH YOU SEEM TO HAVE BEEN STAUNCHEST BELIEVERS OF AN OLD ADAGE THAT “OFFENCE IS THE BEST FORM OF DEFENCE” BY QUESTIONING AND DISCREDITING MY ACADEMIC CREDENTIALS AND PROGRESS,(WHICH HAS AS A RESULT SEVERELY AFFECTED NOT ONLY MYSELF BUT ALSO MY SPONSOR-CUM-EMPLOYER,FAMILY,FRIENDS AND RELATIVES),MY SOLE INTENTION AT THIS JUNCTURE IS TO PUT THE RECORD STRAIGHT.I AM IN NO WAY WHATSOEVER SEEKING FOR CHEAP POPULARITY OR INSTANT FAME AT YOUR EXPENSE,AS IT HAS BEEN SUGGESTED.MY ARTICLES IN “KULIKONI”,AND THEIR ARCHIVAL FORM IN A BLOG (chahali.blogspot.com), ENJOY A WIDER READERSHIP WITHIN AND BEYOND TANZANIA.I COMPLETELY REFUTE THE ALLEGATION THAT I VIEW TABLOIDS SUCH AS “IJUMAA” AND “RISASI”,AS USELESS,RUMOUR MONGERS OR GOSSIP-PRONE.HAD THAT BEEN THE CASE,I WOULD HAVE NEVER EVEN COME ACROSS THE CONTESTED STORY IN “RISASI.” BY THE WAY,EVEN HERE IN THE UK,ONE OF BEST-SELLING PAPERS IS A TABLOID TOO (THE SUN).TABLOID OR NOT,ANY PAPER’S REPUTATION RESTS IN THE HANDS OF PEOPLE BEHIND IT (OWNER,EDITOR,REPORTERS,ETC ETC).THE MORE SERIOUS THESE “BRAINS” ARE,THE HIGHER THE REPUTATION,AND THE MORE “UJANJAUJANJA” AND “USANII” A PAPER ENTERTAINS,THE MORE CRAPPY IT LOOKS IN THE PUBLIC EYES.

FINALLY,I WOULD REALLY APPRECIATE IF YOU COULD PUBLISH THIS E-MAIL IN YOUR BLOG,JUST AS I DID TO YOURS IN MINE.THAT COULD HELP THE PUBLIC IN SIEVING FACTS FROM MANUFACTURED FICTION.

SINCERELY YOURS,

EVARIST CHAHALI
49 TILLYDRONE AVENUE
ABERDEEN
AB24 2TE
TEL +44 1224 491 773
MOB +44 7814 483 356
UNITED KINGDOM

..........................................

Majibu ya editors wa Risasi kuhusu hoja hii na kwa wachangiaji wote, tangu mjadala huu ulipoibuka, yatachapishwa leo baadae na kuweka mambo yote sawa na kila mmoja atajua Chahali alikosea wapi na alitukera wapi....stay tuned!

N.B kwa Chahali: kwa mara ya kwanza nimeiona email yako leo asubuhi hii kutoka source nyingine, japo umedai kuwa tumekuwa tukikubania, hujawahi kuipost kwenye blog hii wala kunitumia kwenye email yangu wala za editors wa Risasi, kwani hatujawahi kuiona na wala sina sababu ya kuacha kuipost hapa- Mrisho

9 comments:

Anonymous said...

Mkiendelea kujitetea basi umma unaweza kuamini kuwa mna ugonjwa wa kutokubali kushindwa.

Anonymous said...

Haya tuonyesheni usomi hapo tunataka evidence tu tunachotaka kujua ni HABARI NI YA KWELI AU FEKI NA KAMA FEKI KWANINI MLETE HABARI FEKI!!! NA KAMA NI YA KWELI KWANINI MTU APONDE HABARI YA MWENZAKE.

JE KAMA NI FEKI HATUA GANI ZICHUKULIWE KWA WAANDISHI WA RISASI KWA KUPAKAZIA WATANZANIA NA WASICHANA WANAOSHIRIKI UMISS KWA KUDHALILISHWA?

JE NA KAMA HABRI NI YA KWELI NINI KIFANYIKE KWA CHALALI!!!

AISE HAPA NI PATAMU SAAAANA.

hatutaki kujua wapi mmekereka!!!???? WAPI MMEKERWA!!! TUNATAKA VITHIBITI HADHARANI, IKIWEZEKANA HILI SWALA LIFIKISHWE BUNGENI.

Anonymous said...

KAKA Chalali...Big up...yaani am supporting u kabisa these pics are all over the NET haya magazeti yanauza HEADLINE na habari za uongo hongera kwa kupasua jipu na mimi ningekua journalist ningepasua kabla yako , ila habari yako imeenda shule kuliko ya magazeti

Anonymous said...

Chalali hapo umeonyesha nani mkweli nani mwongo.Mwanzoni nilidhani jamaa walikuwa na haki ya kukupaka (japo sikuona logic ya habari za masomo yako kuhusishwa na habari hii).Nadhani mrisho na magazeti yako mtakuwa waungwana kumwomba msamaha Chalali.
Uungwana ni kitu cha bure na mtajiongezea heshima machoni mwa wasomaji wenu mkikubali kuwa mliteleza kidogo,au pengine mliingizwa mkenge na mtoa habari wenu

Anonymous said...

Nyie watu wa udaku hamna maana kabisa, Chahali katoa sites mbalimbali zenye hiyo mipicha yenu feki-- hata kama kwenye site nyie mliona mmoja kaandika Tz hiyo haitoshi ilibidi mfuatilie ukweli wake. ANgalia sana udaku wenu mtauza lakini wekeni mambo ya Ukweli kidogo. Sasa tunasubiria mtutajie hayo majina ya warembo mnaowaongelea.

Anonymous said...

niliposoma ile article sikuiweka maanani sana na wala sikuwa nimeangalia picha zile hadi zilipoletwa kwenye ile website ya HI5. At least namfahamu huyu mwanadada "Melanie" ambaye hujulikana kwenye porn industry kama "LORI ALEXIA." Miaka ya nyuma sana wakati angali dogodogo sana alikuwa regular sana pale South Beach Miami. Mlikosea na mmefanya papara sana katika kujitetea. Mngekuwa na busara mngenyamza tu na kuacha mambo haya yaishe kichinichini.

sizinga said...

kwanza mmeizalilisha nchi,pili mmewazazalisha wasichana wa kitanzania kwa ujumla,sijui msamaha wake uombeke vp??halafu we bro. mrisho nimekushangaa huo ujumbe wako mfupi pale mwisho wa maelezo ya chahali,(unataka kudanganya tena watu)kwamba kuna sehemu ndogo ambayo imewakera na wapi ambapo chahali kakosea....huu ni uwongo!!!inaonekana kutokana na elimu yenu hamtaki kukubali ukweli bali mnatafuta kwa kina ili mje kuandika kimstari flani labda kwa kunakili/kunukuu ili mueleze umma kwamba chahali alijikanyaga hapo...wakati ishu ilikuwa kwamba mulimkandia ujumbe wake mzima kuhusu kuwaabisha nyie kwa habari ile feki.kama yeye allijikanyaga kwenye baadhi ya mistari yake kwanini msiiweke hiyo mistari tangu mwanzo,na baadae mnaweka habari za MENGI..inaonekana mnataka kutumia 'delaying technicz' ili mzidi kutulisha matango mwitu..haya tunasubiri huo ujumbe wako bro mrisho

Anonymous said...

Damn, the cat is out of the bag,...you guys came up with so much bul....oohh chachali ni mmoja kati ya wanafunzi wasiofanya vizuri katika masomo yake....etc etc etc... The wounded Homo Sapien has come back big time. He has come back with evidence not stipulations as to whats right and whats wrong. I dare you to come back with EVIDENCE to prove your case...although dare i say it, the case seems dead and buried at his point. Well done Chachali...to the editors..."If you can't beat em...join em"...msione noma, mpeni kijana samahani yake mambo yaishe...msikonde wala nini.

Anonymous said...

Halafu kibaya ni pale mnapohusisha personal matters kwani kufanya vizuri kwenye shule wewe Mrisho kuna kuhusu nini? au hiyo shule mmemtafutia nyie au ndo waajiri wake. Lets' be serious guys, Mrisho mimi nilifikiri ni mtu mwenye heshima kwenye jamii lakini kama mambo ndo haya basi credibility yako kwenye jamii itakuwa zero. Haiwezekani watu wote waone kuwa ni nyie mliokosea kuweka picha feki.

Bora mwombe msamaha CHAHALI na mkemee huyo mnayesema mwandishi wenu hasiyekuwa na jina. Hivi mbona habari nyingine ambazo mnajue zina ukweli mnaandika majina ya waandishi?