MRISHO'S BLOG

Pages

  • Home
  • BIG D GENERAL SUPPLIER

.

.
.

Wednesday, April 2, 2014

NAPE:CCM ITASHINDA KWA ZAIDI YA ASILIMIA 94 UCHAGUZI CHALINZE

1
Nape Nnauye Katibu wa NEC Siasa, Itikadi na Uenezi (CCM) akizungumza na waadishi wa habari kwenye hoteli ya Bonelle mjini Chalinze wakati akizungumzia maendeleo ya kampeni za chama hicho katika jimbo la Chalinze, ambapo amesema kampeni zinaenda vizuri lakini wamekumbana na Changamoto za miundombinu ya barabara kutokana na mvua ambazo zinaendelea kunyesha nchini kote, jambo ambalo linaweza kuchangia wagombea kushindwa kuwafikia baadhi ya wananchi katika baadhi ya maeneo ya jimbo hilo, Nape ameongeza kwamba hata hivyo chama hicho kitashinda kwa asilimia 94 katika uchaguzi huo unaotarajiwa kufanyika Aprili 6 jumapili ijayo. IMG_6292
Waandishi wa habari wakifuatilia mambo mbalimbali yaliyotolewa ufafanuzi katika mkutano na waandishi wa habari loo mjini Chalinze.
Posted by Mrisho's Photography at 1:56 PM
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

Blog Up

The Best online Users

Together Tunawakilisha......

Together Tunawakilisha......
Abdallah Mrisho ‘Abby’

Kuchi kuchi John Pro Remix Ug Msk J' Odie

MY PARTNERS!

  • MICHUZI BLOG
    KIKWETE AITAKA WHI KUBORESHA MFUMO WA KIDIJITALI KUVUTIA UWEKEZAJI MPANA
    3 hours ago
  • JIACHIE
    TANGA CEMENT YAWEKA HISTORIA KUWA KAMPUNI YA KWANZA KUUZA HISA STAHIKI ZENYE THAMANI KUBWA KULIKO ZOTE
    4 hours ago
  • MO BLOG
    Nhà Cái VF555 Nhiều Chương Trình Khuyến Mãi VF555 Tặng 128K
    1 year ago
  • H@ki Ngowi
    Facts The Economist Got Them Wrong on Magufuli
    7 years ago
  • HARUSINI
    LAILA & WASIA MAYA'S WEDDING RECEPTION IN U.S.A
    8 years ago
  • FULL SHANGWE BLOG
    Interrupt iPad 2 Auto-Sync
    9 years ago
  • MjengwaBlog
  • THE BEST

Total Pageviews

Translate

Search This Blog

HOT VIDEO

Popular Posts

  • IJUMAA SHOWBIZ!
    Nakaaya Wasanii na vyama vya upinzani: Sugu aandaliwa makubwa CHADEMA, Nakaaya ndani, Kalapina, Madee pia wamo Ni exclusive lakini pia ...
  • Falling In Love By D'Banj Feat. Genevieve
    Falling In Love By D'Banj Feat. Genevieve
  • Meet Aditya, World's Smallest Bodybuilder!
    At just 2ft 9in, Indian muscleman Aditya 'Romeo' Dev is the world's smallest bodybuilder. Pint-sized Romeo is well-known in h...
  • KIZUNGUZUNGU NI DALILI MBAYA
    You are what you eat! Tofauti na watu wengi wanavyodhani, kizunguzungu huwa ni ishara ya tahadhari inayotolewa na mwili kuwa kuna kitu haki...
  • CNN HONOURS EXTRAORDINARY DEEDS
    Steve Peifer Peter Kithene December 2007 CNN Worldwide and its global audience paid special tribute last night to seven ordinary peopl...
  • How Steve Jobs's biological mother doesn't know he is dead as care home nurses believe dementia sufferer is too ill to be told
    By Paul Bentley Last updated at 7:45 AM on 15th October 2011 His death was one of the most widely publicised in recent history, fi...
  • "KIFUNGO HURU" LYRICS by C-SIR MADINI
    Track Name: KIFUNGO HURU Singer: C-SIR MADINI lyrics composed by: C-SIR MADINI, KID BWOY & JOSEFLY arranged by: C-SIR MADINI Produ...
  • MAPENDEKEZO 9 YA JINSI YA KUCHAGUA JINA LA KUTUMIA KAMA MSANII
    Kama mwandishi na mmiliki wa blog kama hii ya BC [mahali ambapo vipaji huibuliwa na majina kutambulishwa] mojawapo ya majukumu yangu ya ...
  • PUMU HAIPATANI NA VYAKULA VYA MAFUTA
    Kama tunavyosema kila siku, hakuna kitu kibaya kama mgonjwa kutokujua aina ya vyakula anavyopaswa kula na kuviepuka. kwa sababu bila kuwa na...

LOOK FOR YOUR STORY HERE

Awesome Inc. theme. Theme images by tomograf. Powered by Blogger.