Tuesday, July 5, 2016

WANANCHI WAFURIKA BANDA LA PPF, KATIBU MKUU WIZARA YA VIWANDA, BIASHARA


Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Profesa Adolph Mkenda, (wakwanza kushoto), akipitia taarifa ya michango yake, wakati alipotembelea banda la PPF ili kujionea jinsi wafanyakazi wanavyohudumia wananchi na wanachama wanaofika kutembeela banda hilo kwenye maonyesho ya 40 ya biashara ya kimataifa ya Dar es Salaam. Wapili kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa PPF, William Erio


Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji Profesa Adolph Mkenda (kulia), akimkabidhi kadi ya uanachama mwanachama mpya aliyejiunga na PPF kupitia mfumo wa Wote Scheme. Kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa PPF, William Erio

 Afisa Mwendeshaji Mwandamizi, Paulina Msanga, (kulia), akimpatia maelezo mwananchi huyu aliyetembelea banda la Mfuko
huo kwenye maonyesho ya 40 ya biashara ya kimataifa ya Dar es Slaam
 Wananchi wakipatiwa maelezo na wafanyakazi wa PPF, walipotembelea banda la Mfuko huo
 Afisa Masoko Mwandamizi wa PPF, Nelu Mwalugaja (kulia), akiwapa maelezo ya shughuli mbalimbali zifanywazo na Mfuko huo, Mwananchi huyu aliyefika na familia yake kwenye banda la PPF

 Afisa Huduma kwa Wateja Mwajuma Msina, (kushoto), akimpatia maelezo Mwananchi huyu aliyefika kwenye banda la PPF


<!--[if gte mso 9]>

No comments: