Friday, August 10, 2007

THOMAS MLAMBO WA SUPER SPORT ATUA BONGO!

Jamaa ni miongoni mwa watu wanao 'uza sura' sana barani Afrika na baadhi ya nchi za Ulaya,hasa kwa wale wapenzi wa michezo na watazamaji wa chaneli pekee ya mpira barani afrika 'SUPER SPORT', huyu si mwingine bali ni THOMAS MLAMBO! Katua Bongo kwa ziara fupi ya kikazi,hapa akifanya press conference katika hoteli ya Holiday, jijini Dar,Ijumaa mchana.
Thomas Mlambo akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya mkutano namedia. Uwanja Mpya utakapoanza kutumika, jamaa wa Super Sport watakuwa wakirusha mpira LIVE!

Lucy Kiwhele (kushoto) naFuraha Samalu, viunganishi vikubwa vya media na MultiChoice Tanzania


Angela Msangi (kushoto) mwandishi wa TVT akihojiana na Meneja Uhusiano wa MultiChoice TZ, Lucy Kiwhele, katika Hoteli ya Holiday Inn, mapema Ijumaa



Mazagazaga ya kula ya Holiday Inn




Mhariri wa gazeti la michezo, Sport Starehe, Masoud Sanani (kushoto) akipozi Thom





Thomas Mlambo (kulia)akiwana 'mdau' wa blog hii,Mrisho

No comments: