Monday, September 12, 2011

WALI KULENI, LAKINI....!

Haya mambo ya wali yanapatikana Igunga tu kwa sasa katika heka heka za wagombea kunadi sera zao. Wito unaotolewa kwa wapiga kura ni KULA WALI HUO, LAKINI WAMCHAGUE ATAKAYE WALISHA LEO NA KESHO!!

No comments: