Thursday, November 24, 2011

MKURUGENZI WA VODACOM TANZANIA AONGEA NA JUKWAA LA WAHARIRI WA VYOMBO VYA HABARI TANZANIA

Mwenyekiti wa Jukwaa la wahariri  Absalom  Kibanda akimtambulisha Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania Bw.Rene Meza kushoto, kwa wahariri wakuu wa vyombo vya habari nchini Tanzania,wakati mkurugenzi huyo alipokwenda kujitambulisha kwenye mkutano wa Jukwaa la wahariri jijini Dares Salaam jana,katikati ni Ofisa Mkuu wa Masoko na Uhusiano Mwamvita Makamba.
 Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania Bw.Rene Meza  akiongea na wajumbe wa  Jukwaa la wahariri wa vyombo vya habari wakati mkurugenzi huyo alipokwenda kujitambulisha ,kushoto  Mwenyekiti wa Jukwaa la wahariri  Absalom  Kibanda,na katikati ni Ofisa Mkuu wa Masoko na Uhusiano wa Vodacom Tanzania Mwamvita Makamba
 Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania Rene Meza kulia akisalimiana na mjumbe wa jukwaa la wahariri  Masoud Sanani
 Baadhi yawajumbe wa jukwaa la  wahariri wa habari wakimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania Rene Meza hayupo pichani alipokuwa akiongea nao wakati wa kujitambulisha kwa jukwaa hilo.

No comments: