URBAN PULSE CREATIVE MEDIA inapenda kutoa shukrani za dhati kwa Ubalozi na Balozi wa Tanzania UK Mh Peter Kallaghe pamoja na viongozi wa TANZ- UK kwa kuweza kufika, Kutembelea studio zetu kutupa moyo na pamoja na kuangalia kazi zetu
Tuesday, April 19, 2011
MH Balozi Peter Kallaghe Ndani ya Studio za URBAN PULSE
URBAN PULSE CREATIVE MEDIA inapenda kutoa shukrani za dhati kwa Ubalozi na Balozi wa Tanzania UK Mh Peter Kallaghe pamoja na viongozi wa TANZ- UK kwa kuweza kufika, Kutembelea studio zetu kutupa moyo na pamoja na kuangalia kazi zetu
Good Medical News!
£2.50 a day pill to beat strokes: A million Britons could benefit from drug available for use within weeks
By Fiona Macrae
Last updated at 4:03 PM on 5th April 2011
Last updated at 4:03 PM on 5th April 2011
- New blood-thinner Pradaxa not affected by diet
- Due for approval by European regulator next week
A £2.50 a day stroke drug hailed as the biggest step forward in blood-thinning treatments for 50 years could be available within weeks.
An estimated 1.2million Britons could benefit from Pradaxa, which is billed as safer, better and easier to take than warfarin, the gold standard blood-thinner.
Warfarin, routinely used as rat poison, has been prescribed to prevent strokes since the 1950s. But it is deeply unpopular with patients, who need regular tests to ensure they don’t accidentally overdose on it.

Wonder drug: An estimated 1.2million Britons could benefit from taking Pradaxa, a new blood-thinner that is billed as easier, safer and better than warfarin
They also have to watch what they eat because some foods, such as spinach and broccoli, stop warfarin working properly. Others, such as cranberries, make it more potent, raising the odds of dangerous bleeds.
In contrast, the twice daily tablets of Pradaxa do not affect the diet as much and can be up to 39 per cent better at preventing strokes, a major heart conference was told.

Low-cost life-saver: Pradaxa, due to be approved next week, is likely to cost around £2.50 per person per day
The results come from a trial involving more than 18,000 men and women with atrial fibrillation, an extremely common heart rhythm disorder that raises the risk of stroke up to five-fold.
Although the drug has been shown to be effective in these patients before, previous trials looked at only the most severely affected.
The latest results, released at the American College of Cardiology’s annual conference, suggest that those with mild atrial fibrillation could also benefit.
Some 1.2million Britons suffer from atrial fibrillation, which is blamed for 15 per cent of the 150,000 strokes that occur each year in the UK.
Despite the risks, many don’t take warfarin because of the associated problems.
Pradaxa, also known as dabigatran etexilate, could improve their health – as well as boost the quality of life for many of those who do take warfarin.
Martin Cowie, a professor of cardiology at the Royal Brompton Hospital, London, said: ‘Every year in the UK, 20,000 people have a stroke related to atrial fibrillation, a stroke that is often devastating.
‘There hasn’t been a new oral anticoagulant in Europe approved for more than 50 years. Dabigatran etexilate could provide an invaluable option for patients suffering from all atrial fibrillation types.’
Trudie Lobban, chief executive of the Atrial Fibrillation Association, said: ‘Patients have waited a long time for an alternative to warfarin. Dabigatran etexilate has the potential not only to improve stroke prevention but also to greatly improve people’s quality of life.’
UMAARUFU; CHANZO CHA WASANII KUPATA VVU
Na Mwandishi Wetu
Wasanii wametajwa kuwa hatarini kuambukizwa virusi vya UKIMWI kutokana na umaarufu walionao na kujikuta wakishawishika kuingia katika vitendo mbalimbali vya hatari kwa afya zao hasa vya ngono.
Hayo yamesemwa wiki hii na Muelimisha rika Taji Liundi wakati akiwasilisha mada kuhusu Umuhimu wa Msanii Kutunza Afya Yake kwenye Jukwaa la Sanaa linalofanyika kila Jumatatu kwenye Ukumbi wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) ambapo alisema kwamba, umaarufu, ushawishi na kutojitambua miongoni mwao ndiyo chanzo kikubwa cha wao kuwa hatarini kupata maambukizi hayo.
“Kutojitambua, umaarufu na ushawishi mkubwa walionao wasanii katika jamii huwafanya wawe hatarini kuathiriwa na ugonjwa wa UKIMWI kwani hufuatwa na kundi la watu na mara nyingi kujikuta wakishawishiwa kufanya ngono katika mazingira yasiyo salama” alisema Taji Liundi ambaye ni Kamishna msataafu wa Tume ya Kudhibiti UKIMWI nchini (TACAIDS).
Aliongeza kwamba,kada ya wasanii imekuwa ikiathiriwa na ugonjwa huu toka umegunduliwa kwani katika nchi zilizoendelea kumekuwa na taarifa za vifo vya wasanii wengi vinavyotokana na UKIMWI huku akiweka wazi kwamba kutumia vibaya umaarufu ambako kumekuwa kukichanganywa na matumizi ya vilevi ni sababu nyingine kuu.
Alizidi kueleza kwamba,uwepo wa tunzi za kimapenzi katika kazi za sanaa ni changamoto nyingine kwani imezifanya kazi za wasanii kuwa za kusisimua na kuamsha utendaji ngono miongoni mwa wanajamii na kuwaacha wao wakiwa waathirika wakubwa.
“Ukitazama nyimbo za wasanii wa kizazi kipya utaona ni zenye maudhui ya rika la adolescence (umri wa makumi),zimebeba ujumbe wenye kuhamasisha mapenzi na ngono na hapa ndipo tunapoona mabadiliko makubwa ya vijana wakihamasika kufanya yale wanayoyaona na kuyasikia kupitia vyombo vya habari” alisisitiza Taji.
Alimalizia kwa kuwaasa wasanii kujitambua, kujilinda na kuwajibika katika kupambana na VVU/UKIMWI huku akiwaeleza kwamba,umaarufu na ushawishi walionao huathiriana na jamii (Two way effects) hivyo hawana budi kuwa makini.
Kwa upande wake Katibu Mtendaji wa BASATA,Ghonche Materego alisema kwamba, wasanii wamekuwa mstari wa mbele kutoa elimu dhidi ya UKIMWI kwa jamii na kujisahau wao binafsi kwamba wako katika mazingira hatari ya kupata maambukizi.
Alisema kwamba,BASATA katika mpango mkakati wake wa 2011-2014 itajikita katika kutoa elimu kwa wasanii na kuwapa ufahamu juu ya ugonjwa huu hatari ambao umekuwa ukiwaua wasanii mbalimbali duniani.
Wasanii wametajwa kuwa hatarini kuambukizwa virusi vya UKIMWI kutokana na umaarufu walionao na kujikuta wakishawishika kuingia katika vitendo mbalimbali vya hatari kwa afya zao hasa vya ngono.
Hayo yamesemwa wiki hii na Muelimisha rika Taji Liundi wakati akiwasilisha mada kuhusu Umuhimu wa Msanii Kutunza Afya Yake kwenye Jukwaa la Sanaa linalofanyika kila Jumatatu kwenye Ukumbi wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) ambapo alisema kwamba, umaarufu, ushawishi na kutojitambua miongoni mwao ndiyo chanzo kikubwa cha wao kuwa hatarini kupata maambukizi hayo.
“Kutojitambua, umaarufu na ushawishi mkubwa walionao wasanii katika jamii huwafanya wawe hatarini kuathiriwa na ugonjwa wa UKIMWI kwani hufuatwa na kundi la watu na mara nyingi kujikuta wakishawishiwa kufanya ngono katika mazingira yasiyo salama” alisema Taji Liundi ambaye ni Kamishna msataafu wa Tume ya Kudhibiti UKIMWI nchini (TACAIDS).
Aliongeza kwamba,kada ya wasanii imekuwa ikiathiriwa na ugonjwa huu toka umegunduliwa kwani katika nchi zilizoendelea kumekuwa na taarifa za vifo vya wasanii wengi vinavyotokana na UKIMWI huku akiweka wazi kwamba kutumia vibaya umaarufu ambako kumekuwa kukichanganywa na matumizi ya vilevi ni sababu nyingine kuu.
Alizidi kueleza kwamba,uwepo wa tunzi za kimapenzi katika kazi za sanaa ni changamoto nyingine kwani imezifanya kazi za wasanii kuwa za kusisimua na kuamsha utendaji ngono miongoni mwa wanajamii na kuwaacha wao wakiwa waathirika wakubwa.
“Ukitazama nyimbo za wasanii wa kizazi kipya utaona ni zenye maudhui ya rika la adolescence (umri wa makumi),zimebeba ujumbe wenye kuhamasisha mapenzi na ngono na hapa ndipo tunapoona mabadiliko makubwa ya vijana wakihamasika kufanya yale wanayoyaona na kuyasikia kupitia vyombo vya habari” alisisitiza Taji.
Alimalizia kwa kuwaasa wasanii kujitambua, kujilinda na kuwajibika katika kupambana na VVU/UKIMWI huku akiwaeleza kwamba,umaarufu na ushawishi walionao huathiriana na jamii (Two way effects) hivyo hawana budi kuwa makini.
Kwa upande wake Katibu Mtendaji wa BASATA,Ghonche Materego alisema kwamba, wasanii wamekuwa mstari wa mbele kutoa elimu dhidi ya UKIMWI kwa jamii na kujisahau wao binafsi kwamba wako katika mazingira hatari ya kupata maambukizi.
Alisema kwamba,BASATA katika mpango mkakati wake wa 2011-2014 itajikita katika kutoa elimu kwa wasanii na kuwapa ufahamu juu ya ugonjwa huu hatari ambao umekuwa ukiwaua wasanii mbalimbali duniani.
Monday, April 18, 2011
SONGI ZINAZOBAMBA BONGO


Stations Monitored
RADIO:
CloudsFM, KissFM, ChoiceFM, East Africa Radio, MagicFM, TBC1, TimesFM, UhuruFM, Radio Free Africa, RadioOne, Wapo, Passion, Tbc Local, Capital Radio, Tumaini Radio,
TV :
TBC, Channel 10, ITV, StarTV, C2C, MlimaniTV, CloudsTV, ATN, East Africa TV, Capital TV,
DTV, Abood Television
Questions: andrew.mahiga@push.co.tz or losi.nyanduga@push.co.tz
Sunday, April 17, 2011
Unapata Mambo- Kevin Pam feat Lizzy & Stitched
Huu hapa ni mzigo mpya kabisa kutoka Nigeria na Tanzania, dada yetu Elizabeth Gupta, akishirikiana na mume wake Kevin Pam ( Mshindi wa BBA 2009) pamoja na msanii Stitched, waameachia video yao mpya " 'Unapata Mambo" iliyofanyika TZ and Nigeria, KAZI KWAKO!
Subscribe to:
Posts (Atom)