Saturday, May 26, 2012

Men in black 3 in 3D movie launch


Mkurugenzi Mtendaji wa Airtel Tanzania, Sam Elangallor (kulia)
akimpongeza Monica Joseph mmoja wa wateja wao waliohudhuria uzinduzi
wa filamu ya ‘Men in Black 3 in 3D uliodhaminiwa na Airtel katika
ukumbi wa Century Cinemax, Mlimani City, Dar es Salaam jana. Monica
alishinda simu ya mkononi.



Meneja Huduma wa Airtel, Hilda Nakajumo (kulia) akizungumza wakati
wa uzinduzi wa filamu ya ‘Men in Black 3 in 3D


DJ Fetty wa Clouds Radio naye akipokea zawadi yake kutoka kwa
Mkurugenzi wa Biashara wa Airtel Tanzania, Irene Madeje Mlola


Mkurugenzi wa Biashara wa Airtel Tanzania, Irene Madeje Mlola
(kulia) akitoa zawadi kwa  Monica Joseph mmoja wa wateja wao


Mbunifu wa Kimataifa, Flaviana Matata (kushoto) akipozi kwa picha
na Hilda Nakajumo, Meneja Huduma wa Airtel Tanzania


Ofisa Mauzo wa Airtel, Babra Ernest (wa pili kulia) akizungumza
wakati wa uzinduzi wa filamu ya ‘Men in Black 3 in 3D


Sehemu ya watu waliohudhuria uzinduzi wa filamu ya ‘Men in Black 3


No comments: