Monday, June 4, 2012

huduma ya Airtel yazinduliwa kwa kishindo mjini Morogoro

Burudani...
Wateja wa Airtel wakiwa na zawadi zao za simu aina ya Sumsung mara baada kununua moderm za Airtel zenye kasi ya 3.75G,shoto ni Meneja Mauzo wa kampuni ya simu za mikononi ya Airtel-Morogoro,Aluta Kweka.


Msanii wa hip hop ROMA akighani jukwaani kuburudisha umati wa wakazi wa morogoro waliofurika uwanja wa shule ya msingi uwanja wa ndege
Msanii wakundi maarufu nchini la Tip top connection lenye makazi yake jijini dare s salaam Manzese, Madee akiimba jukwaani kuburudisha umati wa wakazi wa morogoro
Wasanii wa kundi la Mashujaa band wakiongozwa na raisi wa band hiyo (pichani kati) Charles Baba a.k.a Kingunge wakiwasha moto jukwaani
Sehemu ya umati wa wakazi wa morogoro uliofurika kwenye uwanja wa shule ya msingi uwanja wa ndege kushuhudia uzinduzi wa huduma mpya ya airtel Supa5
Mkazi wa Morogoro Sarafina Millak akikabidhiwa simu aina ya sumsung na Meneja Mauzo wa Airtel kanda ya Pwani,Aminata Keita mara baada ya kuibuka kinara wa kucheza ‘sebene’ la bendi ya Mashujaa,
Meneja Mauzo wa kampuni ya simu za mikononi ya Airtel-Morogoro,Aluta Kweka akimkabidhi simu aina ya sumsung mmoja wa wateja wa Airtel,Mbesa Baraka

No comments: