Tuesday, July 30, 2013

:WADAU WA HOUSTON TX WAMPA HAFLA NZITO MPIGANAJI "THE CEO" DAVIS MOSHA KATIKA KIWANJA CHA PAPPADEAUX WESTHEIMER

Upscale Spot ndani ya Houston
Mpiganaji maarufu Davis Mosha akiteta jambo na wadau wa Houston, kulia ni Grace Mmari


Juliet, Christa wakifurahia jambo
 Juliet na Christa wakichagua kitengo
Frank Mutafungwa (Mbabe wa zamani Masaki)  na Alex Kassuwi wakiangalia menu
 Wahudumu walikuwa busy sio mchezo kuhudumia wadau

 Christa akimsikiliza "The Boss" alipokuwa akielezea jambo
  Juliet. Kila mtu makini kumsiliza mpiganaji Davis Mosha akiwapa wadau idea za kutoka.

 The Boss, akitafakari jambo

 Frank akisiliza idea toka kwa The CEO Davis Mosha

Kulia, Alex Kassuwi akichangia jambo katika hafla ya chakula iliyoandaliwa na marafiki wa karibu














 PICHA ZOTE NA SWAHILITV.BLOGSPOT.COM

No comments: