Sunday, December 14, 2014

6TH ANNIVERSARY GROOVEBACK PARTY 2014 YAFANA NA BIA YA WINDHOEK DRAUGHT NDANI YA THE ARCADE HOUSE.

Meneja Biashara wa Bia ya Windhoek Joseph Boniface akielezea kuhusiana na Grooveback Party ambayo wao wamekuwa wadhamini wakuu kwa mwaka 2014 katika kutimiza miaka sita ya Grooveback
 Wa pili kushoto ni Msimamizi  wa Windhoek Salum Kabanda akielezea ni jinsi gani wanavyotoa fursa kwa vijana na kuweza kuitumia hususani kwa wanamuziki ambapo wanaandaa matamasha mbalimbali na kuweza kuwa wadhamini wakuu hivyo kuwapa changamoto vijana kwa kuweza kuandaa michanganuo mbalimbali ya kazi kuifikisha kwao na kuifanyia kazi kwa kuwasaidia.
 
 Wahudumu wa The Arcade wakiwa katika Pouzi wakati wakiwahudumia wateja wao waliofika katika Sherehe ya Miaka Sita ya Grooveback iliyofanyia jana
 Dj JB akiendelea kumwaga Burudani ya nguvu ya ngoma za Zamani na kukuna nyoyo za watu wengi waliofika katika Sherehe hiyo.
 Wapambe wa Windhoek wakiwa wanapata Picha ya pamoja wakati wa Sherehe ya kuadhimisha Miaka sita ya Grooveback
 
 Wadau Mbalimbali wa Mabibo Beer and Wine wakiwa wanapata Kinywaji cha aina ya Windhoek Draught huku Burudani ya nguvu ikiendelea kutoka kwa Dj JB
 Dj Nijo ambaye aliingia kwa awamu ya pili na kubadirisha radha ya muziki wa Lingara zile za Kitambo na kukonga nyoyo za wengi
 6th Anniversary Grooveback  Party 2014  Cheers ! na Windhoek Draught
Party ikiwa inaendelea huku Windhoek Draught zikiwa zimezagaa kwa kila Meza!
 Dj Pierra Kutoka Nchini Kenya nae hakuwa nyuma kuendeleza Burudani ya Muziki kwa ajili ya Kusherekea Grooveback Party iliyotimizia Miaka sita
 Ni mwendo wa ku party.....
 Mashabiki wa Grooveback na watumiaji wa Windhoek Draught wakiwa katika Tabasamu la Hatari ...
 
 Dj KT kutoka Tanzania akiwa anaangusha bonge la moja Burudani .....
 
 Hakuna kulala full ku party ...
 DJ Pinye Mkali kutoka nchini Kenya .. akiangusha Burudani ... Hii ilikuwa hatare sana Mashabiki walifurahia Burudani hii ya nguvu.
 Twende Dj Pinye....
 Dj Crusia Toni kutoka Nchini Kenya akiendelea na Burudani ya Nguvu ... Party inaendela..

No comments: