Tuesday, September 13, 2016

MKOA WA SINGIDA WAPATWA NA KISHINDO CHA BURUDANI YA MSIMU WA TIGO FIESTA

Msanii Ben Pol akiwa jukwaani  kuwapagawisha   wakazi   wa   Singida   kwenye  tamasha la Tigo Fiesta lililofanyika  uwanja wa  Namfua  usiku  wa  kuamkia     jana.


Dj D Ommy akiwa katika kuhakikisha kuwa kila burudani inayotolewa na wasanii inakuwa katika utaratibu maalum katika usiku wa Tamasha la Tigo Fiesta mkoani Singida katika viwanja vya Namfua usiku wa jana.


FID Q akitumbuiza katika jukwaa la Tigo Fiesta mkoani Singida katika viwanja vya Namfua usiku wa jana












JUX akiwaburudisha wapenzi wa muziki waliojitokeza kwa wingi katika viwanja vya Namfua mkoani Singida wakati wa  tamasha la Tigo Fiesta usiku wa jana


Niki wa pili akitumbuiza katika jukwaa la Tigo Fiesta usiku wa jana Mkoani Singida 


Malkia wa Uswazi Snura akiwa na madancer wake katika kuwapagawisha wakazi wa Singida katika usiku wa Tigo Fiesta usiku wa jana katika viwanja vya Namfua 
Maelfu ya wakazi wa SIngida waliojitokeza kwa wingi kushuhudia Tamasha kubwa la burudani Tigo Fiesta lilifanyika katika viwanja vya Namfua mkoani humo usiku wa jana.

No comments: