Saturday, September 17, 2016

MKURUGENZI MTENDAJI WA TANESCO, MHANDISI FELCHESMI MRAMBA ATEMBELEA BUKOBA KUTATHMINI ATHARI ZA TETEMEKO LA ARDHI KWENYE MIUNDOMBINU YA SHIRIKA


 Mhansisi Mramba akiongea na waandishi wa habari baada ya kutembelea kituo cha Kabeta
 Mhandisi Francis Maze
Mwangalizi msaidizi wa ofisi za Kituo cha kupoozea na kusambaza umeme cha Misenyi

 Mhandisi Mramba, akikagua athari za tetemeko kwenye makao makuu ya TANESCO mkoani Kagera
 Mhandisi Mramba, na ujumbe wake wakitembelea kituo cha Misenyi
 Mhandisi Mramba (kushoto), akizungumza na wafanyakazi

 Mfanyakazi wa TANESCO mkoani kagera ambaye nyumba yake iliathirika akizungumza kwenye mkuytano huo

 Wafanyakazi wa TANESCO mkoani Kagera

Hili ndilo jengo linalotumiwa na TANESCO kama makao makuu yake mkoani Kagera, ambalo limepata nyufa nyingi na kupelekea huduma za umeme kwa wateja kutolewa nje ya jengo hilo ambapo wateja wanaonekana wakiwa kwenye foleni

No comments: