Mhansisi Mramba akiongea na waandishi wa habari baada ya kutembelea kituo cha Kabeta
Mwangalizi msaidizi wa ofisi za Kituo cha kupoozea na kusambaza umeme cha Misenyi
Mhandisi Mramba, akikagua athari za tetemeko kwenye makao makuu ya TANESCO mkoani Kagera
Mhandisi Mramba, na ujumbe wake wakitembelea kituo cha Misenyi
Mhandisi Mramba (kushoto), akizungumza na wafanyakazi
Mfanyakazi wa TANESCO mkoani kagera ambaye nyumba yake iliathirika akizungumza kwenye mkuytano huo
Wafanyakazi wa TANESCO mkoani Kagera
Hili ndilo jengo linalotumiwa na TANESCO kama makao makuu yake mkoani Kagera, ambalo limepata nyufa nyingi na kupelekea huduma za umeme kwa wateja kutolewa nje ya jengo hilo ambapo wateja wanaonekana wakiwa kwenye foleni
No comments:
Post a Comment