Friday, June 9, 2017

BULEMBO AMALIZA ZIARA MKOANI KAGERA KWA KUUNGURUMA NA WAJUMBE WA BUKOBA VIJIJINI NA MULEBA, LEO

 Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi Tanzania Alhaj Abdallah Bulembo akivalishwa Skavu alipokuwa kwenye mpaka wa Wilaya ya Bukoba Mjini na Wilaya ya Muleba, leo.
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Alhaj Abdallah Bulembo akitangulia kwenda kupanda gari baada ya kuvishwa skafu
Vijana wa Bodaboda wakiongoza msafara wa Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Alhaj Abdallah Bulembo kwenda Mjini
Muleba ukitokea Bukoba mjini, leo
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Alhaj Abdallah Bulembo akimsikiliza kwa makini Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Muleba Muhaji Bushako aliyekuwa akimweleza jambo, wakati wa kikao cha Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Wilaya ya Muleba, Wajumbe wa Mabaraza ya Jumuia za CCM na Watendaji wa Serikali, mjini Muleba, leo
Afisa kutoka Makao Makuu ya Jumuia ya Wazazi Tanzania  Fadhili Mlami akisalimia wajumbe baada ya kutambulishwa kweye kikao hicho. Kulia ni Katibu wa Siasa na Oganaizesheni Makao Makuu ya Jumuia hiyo Daniel Mgaya
Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa ya Muleba mkoani Kagera, Bakari Juma, akitoa ufafanuzi kuhusu utekelezwaji wa miradi mbalimbali katika Manispaa hiyo, alipoalikwa kutoa maelezo kwenye kikao hicho, leo 
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Alhaj Abdallah Bulembo akimvisha shati la CCM Njami Mabula, ambaye yeye na wenzake saba walipokewa na Alhaj Bulembo baada ya kutangaza kuihama Chadema na  kujiunga na CCM, kwenye kikao hicho mjini Muleba mkoani Kagera, leo
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Alhaj Abdallah Bulembo akimvisha pama ya CCM Bushako Njami, ambaye yeye na wenzake saba walipokewa na Alhaj Bulembo baada ya kutangaza kuihama Chadema na  kujiunga na CCM, kwenye kikao hicho mjini Muleba mkoani Kagera, leo
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Alhaj Abdallah Bulembo akiwa katika picha ya pamoja na wanachama wapya aliowapokea baada ya kutangaza kuihama Chadema na  kujiunga na CCM, kwenye kikao hicho mjini Muleba mkoani Kagera, leo
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Alhaj Abdallah Bulembo akimpongeza Diwani wa Kata ya Karamba  Felix France, kwa kufanikisha wanachama hao wa Chadema kuhamia CCM kwenye kikao hicho mjini Muleba mkoani Kagera, leo
Katibu wa CCM mkoa wa Kagera  Rahel Ndegereka akifanya utambulisho wakati wa kikao hicho.


Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Kagera Constasia Buhiye akifua rasmi kikao hicho
katibu wa Jumuia ya Wazazi Tanzania mkoa wa Kagera akimkabidhi kitenge Kwa Mama Buhiye ili akikabidhi kwa Alhaj Bulembo ikiwa ni zawadi kutoka kwa Nina Mama wa UWT wa mkoa huo.
Alhaj Bulembo akikifurahia kitenge hicho baada ya kukabidhiwa
Alhaj Bulembo akikabidhiwa pia kitambaa kwa ajili ya kushonea suti


Alhaj Bulembo akifurahia zawadi ya Kahawa aliyozawadiwa
Ukumbi ukilipuka kwa nderemo na vifijo baada ya zawadi hizo kukabidhiwa
Meza Kuu nao wakisimama kuunga mkono nderemo hizo
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Alhaj Abdallah Bulembo akizungumza na wajumbe katika kikao hicho, mjini Muleba mkoani Kagera, leo
KIKAO CHA BUKOBA VIJIJINIšŸ”½
Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Bukoba Vijijini Novatus Mkwama, akizungumza wakati wa kufungua kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM ya Wilaya hiyo, Wajumbe wa Mabaraza ya Jumuia za CCM, Mabalozi na Watendaji wa Serikali, kikao kilichofanyika Bukoba mjini leo. Kushoto ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Alhaj Abdallah Bulembo na kulia ni Katibu wa CCM Mstaafu mkoa wa Kagera Faustine Kamaleki na Katibu wa CCM mkoa huo Rahel Ndegereka.
Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Bukoba Vijijini Novatus Mkwama, akizungumza wakati wa kufungua kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM ya Wilaya hiyo, Wajumbe wa Mabaraza ya Jumuia za CCM, Mabalozi na Watendaji wa Serikali, kikao kilichofanyika Bukoba mjini leo. Kushoto ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Alhaj Abdallah Bulembo na kulia ni Katibu wa CCM mkoa huo Rahel Ndegereka.
Kikosi kazi cha mambo ya habari kikiwa kazini nje ya ukumbi wakati wa mkutano huo.
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Alhaj Abdallah Bulembo akizungumza wakati wa kikao hicho. Kushoto ni Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Kagera Costansia Bihiye na kulia ni Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Bukoba Vijijini Novatus Mkwama.
Sekretarieti ya CCM Bukoba Vijijini ikiwa kazini wakati wa kikao hicho
Wajumbe wakimsikiliza kwa makini Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Alhaj Abdallah Bulembo wakati akizungumza nao kwenye kikao hicho
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Alhaj Abdallah Bulembo akizungumza wakati wa kikao hicho
Wajumbe wakimsikliza Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Alhaj Abdallah Bulembo alipokuwa akizungumza wakati wa kikao hicho
Maofisa kutoka Makao Makuu ya Jumuia ya Wazazi Tanzania, wakiwa kwenye kikao hicho
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Alhaj Abdallah Bulembo akisisitiza jambo wakati akizungumza wakati wa kikao hicho. PICHA: BASHIR NKOROMO

No comments: