Sunday, October 15, 2017

UHURU FM WALIPOLIAMSHA DUDE JANA KWENYE VIWANJA VYA MWEMBEYANGA, TEMEKE, KATIKA TAMASHA LA 'GUSA MAISHA YAKE' KUMUENZI BABA WA TAIFA HAYATI MWALIMU NYERERE

Mwanamuziki wa muziki wa kizazi kipya Juma Kiroboto, maarufu Juma Nature, akisababisha jukwaani, katika Tamasha la 'Gusa Maisha yao' lililofanyika leo kwenye Viwanja vya Mwembeyanga, Temeke jijini Dar es Salaam. Tamasha hilo liliandaliwa na Uhuru FM katika kumuenzi Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Nyerere.
Mwanamuziki wa muziki wa kizazi kipya Juma Kiroboto, maarufu Juma Nature, akisababisha jukwaani, katika Tamasha la 'Gusa Maisha yao' lililofanyika leo kwenye Viwanja vya Mwembeyanga, Temeke jijini Dar es Salaam. Tamasha hilo liliandaliwa na Uhuru FM katika kumuenzi Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Nyerere.
Mwanamuziki wa muziki wa kizazi kipya Juma Kiroboto, maarufu Juma Nature, akisababisha jukwaani, katika
Tamasha la 'Gusa Maisha yao' lililofanyika leo kwenye Viwanja vya Mwembeyanga, Temeke jijini Dar es Salaam. Tamasha hilo liliandaliwa na Uhuru FM katika kumuenzi Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Nyerere.
Mwanamuziki wa muziki Isha Mashauzi akipagawisha mashabiki, katika Tamasha la 'Gusa Maisha yao' lililofanyika leo kweneye Viwanja vya Mwembeyanga, Temeke jijini Dar es Salaam. Tamasha hilo liliandaliwa na Uhuru FM katika kumuenzi Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Nyerere
Mwanamuziki wa muziki Isha Mashauzi akipagawisha mashabiki, katika Tamasha la 'Gusa Maisha yao' lililofanyika leo kweneye Viwanja vya Mwembeyanga, Temeke jijini Dar es Salaam. Tamasha hilo liliandaliwa na Uhuru FM katika kumuenzi Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Nyerere
Mwanamuziki wa muziki wa Singeli Dula Makabila akiwa jukwaani, katika Tamasha la 'Gusa Maisha yao' lililofanyika leo kwenye Viwanja vya Mwembeyanga, Temeke jijini Dar es Salaam. Tamasha hilo liliandaliwa na Uhuru FM katika kumuenzi Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Nyerere.
Mwanamuziki wa muziki wa Singeli Dula Makabila akiwapandisha mori mashabiki wake walioamua kupanda  jukwaani na kuonyesha uhodari wao wa kucheza muziki huo, katika Tamasha la 'Gusa Maisha yao' lililofanyika leo kwenye Viwanja vya Mwembeyanga, Temeke jijini Dar es Salaam. Tamasha hilo liliandaliwa na Uhuru FM katika kumuenzi Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Nyerere.
Dansa wa Dula Makabila akionyesha umahiri wake wa kucheza Singeli
Vijana wa kundi la Mkubwa na Wanawe wakishambulia jukwani
Msanii wa muziki wa Singeli akionyesha umahiri wake wa kuteka mashabiki
Wachezaji wa timu zilizoshiriki kunogesha tamasha hilo wakichuana vikali kuwania mpira. 
Wachezaji wa timu zilizoshiriki kunogesha tamasha hilo wakichuana vikali kuwania mpira.
Mchuano mkali wa soka kwenye tamasha hilo
Wanamuziki wa bendi ya TOT Plus wakishiriki kunogesha tamasha hilo. Kulia ni kiongozi wao Abdul Misambano
Mcheza shoo wa TOT Plus Gabriel Romao maarufu kwa jina la Matukutuku akionyesha uwezo wake jukwaani
Matukutuku wa TOT akicheza hadi kwa kichwa chini kukata kiu ya machabiki kwenye tamasha hilo
KatamuTamu wa TOT Plus akionyesha uwezo wake wa kucheza shoo jukwaani
Mtangazaji wa Uhuru FM Kigwa akichangasha jukwaa
"Mashabiki piga keleeeee" Kigwa akihamasisha uchangamfu kabla ya Vijana Jazz kupanda jukwaani
Waimbaji wa Vijana Jazz wakiimba kwa hisia kali kudhihirisha kuwa muziki wa dansi bado una nafasi na mashabiki wake wapo.
Kijana Saamata Hussein wa Vijana Jazz akionyesha umahiri wa 'kukaanga chips' jukwani
Mwimbaji mkongwe wa muziki wa Dansi, Anna Mwaole akionyesha bado wamo, wakati akiimba na bdndi hiyo ya Vijana jazz. Anasema yeye ni Kongoro la supu lisiloisha utamu na pia ni kisu cha mgema
Cosmas Adilian na Mohammed kandera wakionyesha umahili wa kupuliza tarumpeta katika bendi hiyo ya Vijana Jazz
Shabiki akionesha 'kuguswa maisha yake' na burudani zilizokuwa zikimimika kutoka makundi mbalimbali kwenye tamasha hilo
Mwimbaji wa Mwenge Jazz Shukuru Majaliwa akionyesha hisia zake wakati akiimba kibao cha siku nyingi cha Zena.
Mwenge Jazz wakishambulia jukwaa
Mwimbaji wa Mwenge Jazz akikoleza kwa kusakata muziki jukwaani
Mkurugenzi wa Uhuru FM Angel Akilimali akifurahia jambo na mwenzake wakati wa tamasha hilo, kabla ya kuanza utambulisho wa baadhi ya watangazaji wa kituo hicho cha radio
Mtangazaji waa Kipindi cha Uhuru Fleva ambacho ndicho kilikuwa mwenyeji wa tamasha hilo, Saidi Ambua, akimtambulisha Mtangazaji Steven Mhina Dungumalo
Akiendela kumtambulisha Mhina
Mhina akisalimia
Mhina akazungumza kisha utambulisho ukaendelea kwa wengine
Mwajuma Yamka wa Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM Lumumba akiwa na Meneja rasiliamali watu wa Uhuru FM Paul Mg'ong'o kwenye tamasha hilo
Sabrina Kado akitoka kupoza koo na Wanamuziki wenzake
Ambua akiteta jambo na mwanamuziki nguli Hussein Jumbe kwenye tamasha hilo
Angel Akilimali akiwa na Mwanamuziki Isha Mashauzi kwenye tamasha hilo
Wafanyakazi wa Uhuru FM wakiwa na Hussein Jumbea na Isha Mashauzi
Paul Mng'ong'o akisalimiana na Kiongozi wa FM Academia Nyoshi El Saadat
Ma DJ John Dilinga na Fast Edie wakiwa kwenye tamasha hilo
Msondo Ngoma wakiwa jukwaani kwenye Tamasha hilo
Romanus Mng'ande aka Romario akifanya vitu vyake na Bendi ya Msondo
Pince Muumini Mwinjuma akiwa na Wanamuziki wake kwenye tamasha hilo
Mwanamama akitafuta wateja wa Ming'oko kwenye tamasha hilo la Gusa Maisha yao
Baadhi ya wafanyakazi wa Uhuru FM kwenye tamasha hilo
Wananchi waliohudhuria tamasha hilo la 'Gusa maisha yao' wakifurahi kuonyesha kuguswa na tamasha hilo ambalo lilikuwa mahsusi kumueenzi Baba wa Taifa hayati Mwalimu Nyerere. PICHA ZAIDI ZINAENDELEA TAFADHALI/>BOFYA HAPA

No comments: