MRISHO'S BLOG

Pages

  • Home
  • BIG D GENERAL SUPPLIER

.

.
.

Sunday, July 15, 2007

KU-FAINT KWA MISS UNIVERSE: ETI ALIOGOPA KUPIMA NGOMA!

Wakati Rais Kikweti akiwa ndani ya banda maalum akipima 'ngoma' katika viwanja vya Mnazi mmoja jijini Dar es salaam Jumamosi iliyopita, Flaviana Matata, Mrembo wa Tanzania aliyeshiriki mashindano ya Miss Universe mwaka huu na kufanya vizuri, alikuwa nje ya banda hilo pamoja na umati wa watu wengine wakisubiri kwa hamu kuona kiongozi wetu anamaliza zoezi hilo na wengine waingie kupima, lakini ghafla mrembo wetu hali ikabadilika na kuanguka chini...eti aliona zamu yake imefika akapata shock...na hivi ndivyo picha kamili ilivyokuwa..!




Pole dada Flaviana kwa maswahibu yaliyokupata.....!


Posted by Mrisho's Photography at 5:56 PM
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

1 comment:

Anonymous said...

siku kama hii kwanini wamemvisha manguo hayo jamani du kweli ulibwende unatabu yake

July 16, 2007 at 1:54 AM

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

Blog Up

The Best online Users

Together Tunawakilisha......

Together Tunawakilisha......
Abdallah Mrisho ‘Abby’

Kuchi kuchi John Pro Remix Ug Msk J' Odie

MY PARTNERS!

  • MICHUZI BLOG
    FUKUO LA KUFUKUA MAAJABU YA NGORONGORO LAFUKULIWA
    2 hours ago
  • JIACHIE
    Tanzania yahimiza Matumizi ya AI Kuimarisha Mtangamano na Maendeleo EAC
    4 hours ago
  • MO BLOG
    Nhà Cái VF555 Nhiều Chương Trình Khuyến Mãi VF555 Tặng 128K
    2 years ago
  • H@ki Ngowi
    Facts The Economist Got Them Wrong on Magufuli
    8 years ago
  • HARUSINI
    LAILA & WASIA MAYA'S WEDDING RECEPTION IN U.S.A
    9 years ago
  • FULL SHANGWE BLOG
    Interrupt iPad 2 Auto-Sync
    10 years ago
  • MjengwaBlog
  • THE BEST

Total Pageviews

Translate

Search This Blog

HOT VIDEO

Popular Posts

  • IJUMAA SHOWBIZ!
    Bahati Bukuku kuwakutanisha mastaa wa Injili Msanii wa nyimbo za injili nchini Bahati Bukuku anatarajia kuwakutanisha baadhi ya mastaa wa fa...
  • IGENI NA HII!
    Mnaopenda kujiachia Bongo, igeni na hii fashion basi!
  • MASIKINI TID!
    Medani ya muziki wa kizazi kipya imepigwa butwaa leo baada ya mwanamuziki TID, kwa mara ya mwisho akitamba na wimbo wake Nilikataa, kuhukum...
  • Warembo wawania taji la mtandao
    Shindano la kumtafuta Vodacom Miss Tanzania 2008 limepamba moto na Jumamosi ijayo ndiyo fainali itakayotoa mrithi wa Richa Adhia ambaye anat...
  • ANAOMBA MSAADA WA KUPATA MME.
    THE WOMAN IS IN TROUBLE Hi pal, My name is Cassandra Moloi I'm 28 years old and I have no kids and I'm single. I have 5 degrees and...
  • MWONGOZO WA UKUAJI BORA WA MIJI WAZIDI KUNOLEWA
      Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Utafiti wa Kiuchumi na Kijamii (ESRF) Dkt. Tausi Kida akitoa neno la ukaribisho wakati wa mkutano ...
  • Mastaa hawa walivyoipokea hukumu ya TID
    Kalapina: Kwa upande wangu mimi nilishangaa TID kuhukumiwa kifungo, kwasababu siku ya tukio tulikuwa wote ukumbini, huyo dogo aliyemshitaki ...
  • MBWA ANAPOMLEA MTOTO WA MBUZI.......!
    A paternal dog has adopted an abandoned baby goat as his surrogate child. Billy 'the boxer' has become the constant companion of the...
  • Mrembo auawa!
    NA DOTTO MWAIBALE Mhudumu wa Baa ya Salama Beach iliyopo Kiwalani Bombom jijini Dar es Salaam, Lightness Johnson (17), amefariki dunia baa...

LOOK FOR YOUR STORY HERE

Awesome Inc. theme. Theme images by tomograf. Powered by Blogger.