Sunday, August 12, 2007

WADAU WA UREMBO BONGO: MNAMKUMBUKA MREMBO HUYU?


Leo Abby Cool & MC Geroge Over The Weekend imeamua kukufanyia bonge la surprise, imetega na mitego imemnasa na kumuibua Miss Tanzania namba 2 mwaka 1999 - 2000, Ayan Hassan(pichani juu) kisha kupiga naye stori.

Akiongea kupitia mtandao wa internet, mnyange Ayan alisema kwamba, muda mrefu aliotoweka nchini yupo kwenye ardhi ya Malkia Elizabeth, UK, akilisongesha gurudumu la maisha na amekuwepo nchini humo kwa miaka mitano sasa.

Aidha mlimbwende huyo aliyepata kutingisha kunako sanaa ya urembo alisema kuwa, akiwa nchini humo tayari ameshamaliza masomo yake ngazi ya diploma, yaliyomgharimu miaka mitatu katika chuo cha Hammersmith and West London cha London, England na sasa hivi anajipanga kwenda kutembea USA.

Pia nina mpango wa kurudi nyumbani na ninamatumaini ya kufungua biashara yangu mwenyewe, japo sijaamua nifanye bishara ya aina gani. Kuhusu masuala ya urembo kwasasa nimeyaweka kando, sina mpango wa kuendelea na mambo ya urembo kwa sasa, labda baadaye.

"Ningependa kuwashauri washiriki wa urembo wajitahidi kujihadhari na gonjwa la ukimwi. Ningewaomba kwakuwa wao ni jicho la umma wawe mstari wa mbele katika kuielimisha jamii kuhusu HIV hasa vijana."Rais Kikwete (Jakaya) kashatoa mfano naomba tumuunge mkono", alisema Ayan Hassan.

1 comment:

Anonymous said...

Ukiwa umefanya kazi maisha yako yote kujenga familia na urithi, huwezi kuruhusu kivuli cha mtu wa tatu kiiharibu katika miezi michache tu. Niligundua kuwa mabadiliko ya ghafla ya tabia ya mume wangu yalikuwa kuingiliwa kiroho, si tu mgogoro wa katikati ya maisha.

Niliwasiliana na Mystic Kakaa kwa ajili ya uingiliaji kati wa kibinafsi. Kazi yake ilikuwa ya upasuaji. Alitambua kivuli na kukiondoa kabisa bila drama yoyote ya umma. Ndani ya siku 5, umakini wa mume wangu ulirudi nyumbani kwetu na katika mustakabali wetu. Ikiwa unalinda maisha yenye thamani kubwa na unahitaji bwana anayeelewa busara, wasiliana naye kwa: dawnacuna314@gmail.com

WhatsApp: +2349046229159

Yeye ndiye kiwango cha dhahabu.
Kwa uchawi wa upatanisho wa uhusiano/ndoa.

Uchawi wa kumfanya mpenzi wako wa zamani/mwenzi wako aombe msamaha.

Uchawi wa kumrudisha mpenzi wako/kumvutia mpenzi mpya.

Uchawi wa kurejesha mali/pesa zilizoibiwa.

Mabadiliko ya umbo/Uchawi wa kutoweka.

Uchawi wa kushinda bahati nasibu/kesi ya mahakama. Na zaidi