Tuesday, March 15, 2016

DK.KIGWANGALLA AIFUNGULIA MOCHWARI YA HOSPITALI YA TUMBI

Tazama MO tv, kuona tukio hilo hapa:
Imeandaliwa na Andrew Chale,Modewjiblog
dakNaibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Hamisi Kigwangalla (katikati) akipatiwa maelezo kutoka kwa Mganga Mkuu wa Hospitali ya Tumbi, Dk Dastan juu ya maendeleo ya majokofu hayo yanayofanyiwa ukarabati

dk kigwangalla23Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Hamisi Kigwangalla akiangalia moja ya majokofu ambalo limeharibika kwa muda mrefu kuona namna ya kuweza kulitengeneza ilikusaidiana na majokogu yaliyoppo sasa ambayo yanapokea miili 16.
djUkaguzi..
DSC_6871Fundi anayesimamia utengenezaji wa majokofu ya Hospitali ya Tumbi, Bw. Josiah Kulwa akimuonesha Naibu Waziri Dk. Kigwangalla jokofu hilo ambalo limeharibika muda mrefu. Hata hivyo Dk. Kigwangalla ametaka kuona uongozi wa Hospitaali hiyo unachukua hatua ya kufanyia matengenezo ililiweze kusaidia na majokufu mengine ilikuendana na hali halisi.
dk hkBaadhi ya mafundi wakiendelea na ukarabati wa majokofu hayo
dk hghjUkarabati ukiendelea
dk kigwaUkarabati..
dk eaeKifaa ambacho awali kilikuwa hakisomi kabisa na kubakia namba sifuri, baada ya ukarabati huo sasa kifaa hicho kimeanza kusoma kama kinavyoonekana pichani
dk kigwangalla1Naibu Waziri Dk. Kigwangalla akipata maelezo kutoka kwa fundi anayesimamia ukarabati huo
dk khjlaUfuatiliaji ukiendelea..
dk kihaNaibu Waziri Dk. Kigwangalla akiwa ameingiza mkono ndani ya jokofu hilo kama linafanya kazi ipasavyo. Hata hivyo jokofu hilo limeweza kutengamaa na kufanya kazi ipasavyo ambapo ameagiza lianze kufanya kazi.
dkhjkFundi anayesimamia utengenezaji wa majokofu ya Hospitali ya Tumbi, Bw. Josiah Kulwa akitoa maelezo namna ukarabati huo unavyoendelea..
dk kigwangalla
Naibu Waziri, Dk. Kigwangalla akiangalia namna utengenezaji huo unavyoendelea kwa upande wa nje wa majokofu hayo
dk kigwangalla22Eneo la vifaa vya majokofu hayo ya Mochwari panavyoonekana wakati wa matengenezo hayo
dk kigwangalla33Complesa ya zamani ambayo imeharibika ikiwa pembeni wakati wa matengenezo hayo
Dk kiMatengenezo yakiendekea..
dk kigwangaaFundi anayeshughulikia matengenezo hayo akimwelezea jambo, Dk Kigwangalla wakati alipowasili katika eneo hilo la Mochwari
dak a
Mtaalam wa upande wa Mochwari hiyo ya Tumbi akitafakari jambo wakati wa ujio huo wa Naibu Waziri Dk. kigwangalla
djkjhNaibu Waziri Dk. Kigwangalla akipokea taarifa na namna ya hatua zinazochukuliwa na Hospitali hiyo ya Tumbi, kutoka kwa Mganga Mkuu wa Hospitali, Dk. Dastan. (Picha zote na Andrew Chale,Modewjiblog).

No comments: