Saturday, September 1, 2007

ZE COMEDY MATATANI!


Na Mwandishi Wetu

Kikundi maarufu cha sanaa za uchekeshaji kijulikanacho kwa jina la Ze Comedy cha jijini Dar es Salaam kiko matatani baada ya kudhihaki maadiko takatifu ya dini ya kiislamu (kurani), hivyo kuwatibua waislamu nchini.

Aidha wasanii hao wametakiwa kuwaomba radhi waislamu kabla hawajachukuliwa hatua kali ambayo huenda ikawadhuru.

Onyo hilo limetolewa na Sheikh Hashim Ruseganya wa Msikiti wa Mtambani jijini Dar es Salaam wakati wa hotuba ya swala ya Ijumaa aliyoitoa msikini hapo hivi karibuni. (udaku zaidi: http://www.globalpublisherstz.com/risasijumamosi/)

No comments: