MICHUZI USONI MWA TIBAIGANA!
Nimefurahishwa na hii picha iliyopigwa kwenye msiba wa marehemu Mbatia, ikimuonesha mwana globu mwenzetu Michuzi (kulia) akiwa katika harakati ya kumpiga picha kamanda wa polisi Kanda maalum, Alfred Tibaigana..sijui kilichotokea hapa..teh teh!!(PICHA ZAIDI ZA MSIBA:
WWW.GLOBALPUBLISHERSTZ.COM)
No comments:
Post a Comment