Friday, October 24, 2008

IJUMAA SEXIEST GIRL: Wanne wafungua dimba la kuaga

Rose Ndauka
Queen David
Maunda Zoro
Winta

Violeth Timoth
Siku chache baada ya kuanza kwa shindano la ‘Ijumaa Sexiest Girl’ wasomaji na wapenzi wengi wameonesha kulipokea kwa shangwe, jambo linalowafanya waendelee kutuma meseji za kumwaga, wakiwapigia kura wale ambao wanadhani wanastahili kuendelea kuwepo shindanoni. Kama tulivyowahabarisha wiki iliyopita kuwa, shindano linatakiwa lianze rasmi na warembo 12 kati ya 20 waliyopo pichani, lakini kutokana na wengi kufungana katika kura zao, leo wanatolewa wanne, Nakaaya, Queen David, Violeth na Latoya ambao wameambulia kura chache. Bado tunaendelea kuwatafuta 12, unachotakiwa kufanya msomaji ni kuendelea kututumia ujumbe mfupi (SMS) kupitia simu zile zile +255 784-275 714, +255 787-110 173, utuambie nani anastahili kuingia rasmi katika mpambano huo.

No comments: