Wednesday, September 29, 2010

MISS CONGRESS INTERNATIONAL AREJEA BONGO

Mrembo Jullieth William, aliyekwenda kupeperusha bendera ya Tanzania nchini Italy, kupitia shindano la Miss Progress Internatinal lililofanyika Ijumaa iliyopita na kufanikwa kutwaa taji hilo kwa kuwa mshindi wa kwanza, amewasili mchana huu nchini na kuikabidhi bendera ya taifa kwa serikali, huku akipokewa na ndugu na jamaa, PICHANI akipokewa na mama yake mzazi
Akiwa na Mkurugenzi wa mashindano hayo hapa nchini, Beatus Kaboja wa kampuni ya Syscorp Managements.


No comments: