




Marehemu MODIBO atakumbukwa na wengi kwa jinsi alivyokuwa mstari wa mbele kwa kujitolea kwake mhanga kwa ajili ya kusaidia wengine, hayo yalisemwa na watu mbali mbali kuanzia watoto pamoja na mataifa mengine mara baada ya kuzika katika hafla fupi ilioandaliwa na wanakamati. Hivyo Basi kwa kumuenzi marehemu Jumuiaya ya kitanzania Manchester imeahidi kuendeleza yale yote mema aliyoanzisha na kuwahamasishwa wengine. Mwisho kwa Niaba ya Familia na rafiki wa marehemu inapenda kutoa shukrani zao za dhati kwa wale walijitolea kusaidia kwa namna moja au nyingine wakati wa kumuuguza marehemu na kufanikisha shughuli ya leo. Mungu awabariki wote.
ASANTENI
No comments:
Post a Comment