Saturday, July 2, 2011

MISS TEMEKE WAJIVINJARI VODACOM

Mtunza nyaraka muhimu za wateja wa Vodacom Tanzania, Salum Mwalimu, akiwaelekeza baadhi ya warembo hao. Warembo wa kitongoji hicho walitembelea ofisi za Vodacom Tanzania kujifunza mambo mbalimbali yanayofanywa na wadhamini wakuu wa shindano hilo,wengine kushoto ni wafanyakazi wa kampuni hiyo.
   
Picha ya kwanza: Meneja wa duka la Vodacom la Mlimani city Fatma Kalyanye (aliyenyoosha mkono) akiwaonyesha baadhi ya warembo wanaoshiriki katika kinyanganyiro cha miss Temeke baadhi ya bidhaa zinazouzwa katika duka hilo.
 
Mtaalam wa mambo ya habari wa Vodacom Tanzania Matina Nkurlu (kushoto) akiwaongoza baadhi ya washiriki wa Miss Temeke.
Meneja Udhamini na Matukio wa Vodacom Tanzania Rukia Mtingwa,akiongea na baadhi ya washiriki hao.

No comments: