Tuesday, July 12, 2011

VODACOM YATEMBELEA CCBRT KUKAGUA MRADI WAKE WA FISTULA

Mkurugenzi Mkuu Mtendaji wa Hospitali ya CCBRT Bw. Erwin Telemans akifafanua jambo kwa mjumbe wa bodi ya udhamini wa mfuko wa huduma kwa jamii wa kampuni ya simu za mkononi ya Vodafone ya nchini Uingereza Elizabeth Filkin wakati wakielekea kweye wodi ya wagonjwa wa Fistula inayofadhiliwa na Kampuni y a simu za mkononi ya Vodacom Tanzania.
Muuguzi wa Hospital wa Hospitali ya CCBRT kitengo cha wagonjwa wa Fistula Bi.  Emelda Lweno akitoa maelezo kuhusiana na jinsi wanavyowahudumia wagonjwa wa Fistula kwa mjumbe wa bodi ya udhamini wa mfuko wa huduma kwa jamii wa kampuni ya simu za mkononi ya Vodafone ya nchini Uingereza Elizabeth Filkin wakati alipozuru katika wodi hiyo hospitalini hapo
  
Muuguzi wa Hospital wa Hospitali ya CCBRT kitengo cha wagonjwa wa Fistula Bi.  Emelda Lweno akitoa maelezo kuhusiana na jinsi wanavyowahudumia wagonjwa wa Fistula kwa mjumbe wa bodi ya udhamini wa mfuko wa huduma kwa jamii wa kampuni ya simu za mkononi ya Vodafone ya nchini Uingereza Elizabeth Filkin wakati alipozuru katika wodi hiyo hospitalini hapo (kulia) ni Afisa Mkuu wa Masoko na Uhusiano wa  kampuni ya Vodacom Tanzania Mwamvita Makamba .
Muuguzi wa Hospital ya CCBRT kitengo cha wagonjwa wa Fistula Bi.  Emelda Lweno akimwonyesha mjumbe wa bodi ya udhamini wa mfuko wa huduma kwa jamii wa kampuni ya simu za mkononi ya Vodafone ya nchini Uingereza  Elizabeth Filkin wanawake wenye ugonjwa wa Fistula ambao matibabu yake yanafadhiliwa na Kampuni ya Vodacom Tanzania  wakati wa ziara yake hospitalini hapo.

: Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya CCBRT  Bw Erwin Telemans akimpatia maelezo Mjumbewa Bodi ya Udhamini wa Mfuko wa Huduma kwa Jamii wa Vodafone ya nchini Uingereza Bi Elizabeth Filkin wakiwa katika wodi ya wagonjwa wa mdomo sungura alipotembelea hospitalini hapo kuona maendeleo ya miradi inayofadhiliwa na Vodacom Foundation. Kulia ni Mkuu Afisa Mkuu wa Masoko na Uhusiano wa Vodacom Tanzania Mwamvita Makamba akimjulia hali  mtoto  mwenye tatizo la mdomo sungura.Bi Elizabeth yupo nchini kwa ajili ya kukagua miradi mbalimbali ya kijamii inayofadhiliwa na Vodacom.
Mjumbe wa bodi ya udhamini wa mfuko wa huduma kwa jamii wa kampuni ya simu za mkononi ya Vodafone ya nchini Uingereza Elizabeth Filkin akipewa maelezo na mwenyeji wake Mkurugenzi Mkuu Mtendaji wa Hospitali ya CCBRT Bw. Erwin Telemans  kuhusiana na wagonjwa wanaopata huduma katika Hospitali ya CCBRT ya jijini Dar es Salaam wakati wa ziaraya ya kukagua miradi ya jamii inayofadhiliwa na Vodacom Tanzania jana.

Mkurugenzi Mkuu Mtendaji wa Hospitali ya CCBRT Bw. Erwin Telemans akiagana na mjumbe wa bodi ya udhamini wa mfuko wa huduma kwa jamii wa kampuni ya simu za mkononi ya Vodafone ya nchini Uingereza Elizabeth Filkin mara baada ya ziara Hospitalini hapo, watatu kulia ni Afisa Mkuu wa Masoko na Uhusiano wa kampuni hiyo Mwamvita Makamba aliembatana na ujumbe huo na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali hiyo Bi. Haika Mawalla.

No comments: