Makamu wa pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Balozi Seif
Alli Iddi (kati) akipokea mfano wa hundi yenye thamani ya Shillingi Millioni
20, kutoka kwa Mkuu wa Kitengo cha Mahusiano na Jamii-NMB Shy-Rose
Bhanji ikiwa ni msaada wa benki hiyo kwa waathirika wa ajali ya meli
huko Zanzibar. Kushoto ni Meneja wa NMB tawi la Zanzibar.
No comments:
Post a Comment