Thursday, January 6, 2011

BLOG MPYA

UMABE Arts

Habari za leo wadau wote popote Duniani, kwanza tunapenda kuwapa mkono wa heri ya mwaka mpya 2011.Tunapenda kuwakaribisha nyote katika Web Blog yetu inayo jishughurisha na Sanaa za aina zote kama vile Muziki,maigizo,Filam nk, kwa ujumla mengi Mtayaona mtakapo tembelea Tovuti yetu. Pia tunaomba ushirikiano wenu kwani tunaamini sisi kama sisi hatujitoshelezi bila nyinyi wadau wetu. tunapenda kutanguliza shukurani zetu na karibuni sana.

WAKO KWA NIABA YA KAMPUNI

FREDY NJEJE

PROJECT AND DESIGN MANAGER

UMABE ARTS COMPANY LTD

Jina la Blog: UMABE ARTS

LINK: http://umabearts.blogspot.com/

kwa Pamoja tunaendeleza harakati za sanaa na wasanii Nchini.

Sunday, January 2, 2011

TIP YA LEO: KUJAMBA (FARTING) NI DALILI NJEMA!

Baadhi yatu hudhani mtu anapojamba (farting) ana matatizo tumboni, lakini ukweli ni kwamba hiyo ni dalili kuwa digestion inafanyakazi vizuri kwani kitendo hicho huwa kinatoa gas na sumu tumboni. Unapobanwa usijizuie saana, jiachie kwa faida yako....ndiyo maana Waarabu, Wachina, Wajapani, kujamba hadharani siyo ishu, ni fahari.....soma kwa undani article hii:

Some of us seem to think that we can be healthy by simply eating healthy foods. The truth is, your health is determined by how well you digest the foods that you put into your body. In other words, you might be eating an unprocessed, whole food diet, but if your digestive passageway isn’t effectively breaking these foods down and absorbing nutrients, you are not giving yourself a chance to come close to your best health.

What does this have to do with farting? The amount you fart is one of the best indicators of how well you are digesting your food. Farting is in part due to rotting of incompletely digested foods in your digestive passageway. Farting in itself is actually helpful, as it represents unwanted gas leaving your body. In fact, if you have an urge to fart, be sure to do so. The point is, if you are farting a lot, then you probably have a lot of toxin formation occurring inside your gut from rotting of incompletely digested food, and some of these toxins are entering your blood stream and contributing to the development of long term disease. Please note that I am referring to farts that make your family and friends yelp. Farts that do not produce objectionable odor are usually pockets of air that you have swallowed.

Enough about farting. What can you do to improve your digestion and prevent toxin formation from rotting of undigested food in your gut?

1. Chew your food until liquid. You don’t have teeth anywhere else in your digestive passageway. By chewing your food until liquid, you allow your digestive organs to do their jobs efficiently without the burden of having to break down larger chunks of food. If you don’t remember anything else from this newsletter, please remember this one point. It can make a huge difference in your level of health.

2. Consistently eat whole, unprocessed foods. An apple is better than apple juice. A bowl of oatmeal is better than a power bar. An organic egg is better than any egg substitute. And organic butter is much better than margarine. The closer your foods look like they can be found in a garden, in the wild, or on an organic farm, the greater chance your body has of efficiently digesting them.

3. Avoid foods that experience tells you no matter how well you chew, your body just says no. Based on your genetics and health status, there are foods that your body will digest beautifully, and there are foods that your body simply cannot break down. It’s your job to observe how you feel after each meal to identify these foods. It is important to note that as your health changes over time, your tolerance for different foods may also change, so you don’t need to write off a particular food forever if it isn’t working for you right now.

4. Don’t eat fruit for dessert. Fruits are extremely low in protein compared to all other foods, including vegetables. And all foods that have significant protein must spend about an hour to an hour and a half in your stomach, where the protein is broken down by acid produced by your stomach. If fruit gets caught up in your stomach because there are other foods churning there already, it is possible that some of the fruit will rot, resulting in gas and toxin formation. Try to eat fruit on an empty stomach, or about two hours after a big meal.

5. Take it easy for at least 30 minutes after a big meal. In order for your digestive organs to effectively break down food, they need to receive a large portion of your total blood volume after a big meal. If most of your blood is flowing to your muscles because you are running around, you’re not going to have enough available for your digestive organs to do good work.

Use the amount that you fart as a marker for your digestive strength and the health of your gut. By following the steps outlined above, you should see a dramatic reduction in gas production.

It is important to note that if you are currently eating a lot of processed foods and want to make the jump to eating mainly whole, unprocessed foods, doing so may cause a lot of farting in the beginning. This is due to your intestines and the trillions of bacteria that live in them getting used to a new selection of foods. For many people, it takes about a month to adapt to a whole food diet.

(By Dr. Ben Kim

DrBenKim.com)

LADY GAGA HAACHI VITUKO

..Lady Gaga akiwa katika vazi lilotengnezwa kwa nyama...mtata huyu!

Ametangaza hivi, anajiandaa kutoa albamu na singo. Tarehe yake ni 2 13 11 kwa songi na 5 23 11 kwa albamu. Kama hukumpata anamaanisha nini utajiju, kifupi ni kwamba singo anaiachia Feb 13 na albamu Mei 23 mwaka huu.

Albamu na singo vyote vinajulikana kwa jina la Born This Way na sehemu ya mashairi yake yanasema:

"Don't hide yourself in regret, just love yourself and you're set. I'm on the right track baby, I was Born This Way."I'm beautiful in my way, 'cause God makes no mistakes, I'm on the right track baby, I was Born This Way." ...huo ni mpasho tosha kwa wale wanaomcheka na kumsemasema kuhusu tabia yake ya kuvaa kiajabu ajabu na hata kutembea uchi.

Kama hujui, albamu yake ya Fame Monster, mwaka jana iliuza copy milioni 5.8.!! Hebu piga hesabu za kibongobongo kama wasanii wetu wanavyolipwa na mamu shilingi mia 500 kwa tape mara hizo......karibu BILIONI 3 kudadadeeki!

RIHANA ALIPWA MILIONI 356 KUUKARIBISHA MWAKA MPYA

Rihani akiukaribisha mwaka 2011....three! twoo! Onee!!
Rihanna....katika vazi la kiheshima zaidi
Maisha ya wasanii wetu na wale wa majuu yana tofauti kubwa kama ardhi na mbingu na sidhani kama yatakuja kufanana mpaka mwisho wa ulimwengu huu! Wakati msanii hapa bongo akilipwa milioni 1.5 kwa shoo moja anaonekana ni msanii ghali, mwanadada Rihana amelipwa milioni 356 kwa ajili ya kuhudhuria katika pati moja ya saa moja na kuhesabu zile sekunde za kuukaribisha mwaka mpya (zile Three, twooo, Onee)!

Mpango mzima ulifanyika Pure Nightclub, uliyopo Sin City Venue, katika jiji la maraha na kamari za makasino, Las Vegas, Marekani! Baada ya hapo, aliendelea na safari zake za kwenda kwenye shoo zingine. Utajiuliza akipiga shoo za hivyo tu 3 kwa mwaka, ana shida gani hata asipotoa albamu?

KIZEE CHA MIAKA 94 CHA MCHAZA MIMBA MKEWE NA KUZAA

Ramajit Raghav akiwa na mwane
Ukisikia ng'ombe hazeeki maini nd'o hii. Mzee mmoja kutoka India, Ramajit Raghav mwenye umri wa miaka 94, amemjaza mimba mkewe Shakuntala (59) na kumzalisha mtoto na kwa kitendo hicho mzee huyo amejihesabu kuwa mzee kuliko wote aliyeweza kumjaza mkewe mimba.

Alipoulizwa siri ya 'nguvu' zake katika umri huo, ambao inaaminika nguvu za kiume huisha, Mzee Raghav alisema kuwa mlo wake wa kila siku huwa ni nusu kilo ya samaki, lita 3 za maziwa na kilo moja ya samli.

Kuhusu future ya mwanae, mzee huyo alitamba kwa kusema kuwa anaamini ataendelea kumlea mwanae kwa miaka mingine kumi.

"Njoo baada ya miaka 10 kuanzia sasa na utanikuta niko hivi hivi. Nitakufa kama nitaumwa na nyoka mweusi ambaye yuko mbali sana," alitamba mzee huyo wakati akiongea na mwandishi wa mtandao mmoja.

Saturday, January 1, 2011

KARIBUNI KATIKA JUKWAA LA SANAA LA KWANZA KWA MWAKA 2011

Wadau Heshima kwenu na heri ya mwaka mpya kabisa wa 2011.Napenda kuwafahamisha kwamba,Katika Jukwaa la Sanaa litakalofanyika kwenye Ukumbi wa BASATA Jumatatu hii kuanzia Saa 4.00 Asubuhi,Mratibu wa Tamasha maarufu la Sauti za Busara Bw.Kwame Mchauru atazungumzia ‘Mchango wa Matamasha Katika kukuza ajira na Sekta ya Sanaa kwa ujumla nchini.

Wasanii na wadau wote wa sanaa mnakaribishwa kwa wingi katika Jukwaa hili kwani ni muda mzuri wa kujifunza umuhimu wa matamasha na jinsi ya kujipanga kabla ya kupanda jukwaani.Aidha,Tutapata wasanii wa kujua lini Tamasha la Usiku wa Busara litaanza, litakuwa na sura gani na ni wasanii wa aina gani watapata wasaa wa kupanda jukwaani.

Kutakuwa na fursa pana ya kuuliza maswali na kutoa maoni kuhusu tamasha hili na sekta ya sanaa kwa upana wake katika mwaka huu mpya.Tuanze mwaka kwa maono mapya na mikakati mipya katika kukuza sanaa zetu.
Nyote mnakaribishwa,Sanaa ni Ajira,Tuithamini


Cpwaa joint venture with AY


Greetings,

I hope all is well.

In the progress of making changes and taking Bongoflava Music to another level,the most talented and famous artist "CPWAA" also known as King of BongoCrunk has officially signed and joined the Unity Entertainment group managed by AY ( Most internationally known Tanzanian Artist).Cpwaa is known to be one the few artist who has been on the front line to take the Bongoflava Music on the international Platform with hits songs such as 6 in the morning, Pwaa part 1, Pwaa part 2, Problem ( Best Music video 2009 - 2010), So Pwaa ( Pwaa part 3) and the latest one ACTION feat Ms. Triniti from US, Mangwear and Dully Sykes.This partnership comes after a long time acknowledgment between AY and CPwaa when it comes to making a difference and taking it on an extra ordinary level.

Unity Entertainment under AY is a company that is responsible for making shows, negotiating shows, events and Music contracts between Tanzania Artists any and other local or foreign third party that want to work or use the artists works within the group.Some of the artist under this group includes Shaa, Mwana FA and Joh Makini. CPwaa is now a new member of this elite club of Tanzanian most demanded and talented Artists.

"I appreciate AY's efforts ways back, we have been pals since the 90's on our Secondary education level and we have been talking about revolutionizing the game most of time. We sort have a common dream but each have been doing his own thing. I feel its about time we join forces and bring history. AY is well connected and has more experience on the outside market, if my network and AY's network connect...then SKY is the Limit.I believe this partnership will make wonders and benefit all parties involved. Brainstormusic and Media Co ltd ( which is Cpwaa's Company) all together with Unity Entertainment are the future Bongoflava platforms for liberation of Tanzania Artists. Support Bongoflava support your local Artists" .....Cpwaa.

LIBENEKE JIPYA

Habari za saa hizi mkuu, pole na majukumu na kutupa Updates. Naomba unisaidie kurusha tangazo la Online Shop kwa wananchi (Nimeambatanisha na Link Hapo Chini), Ninatanguliza Shukrani Zangu Za Dhati;
www.hisandhersuk.com