Sunday, April 1, 2012

MAHARUSI WAINGIA MITINI ,MWENYEKITI WA SHEREHE HIZO ASHINDWA CHA KUONGEA


Hii ndio Sehemu ambayo maharusi walitakiwa kukaa
Wageni waalikwa wakiwa wametulia baada ya kupewa taarifa ya kuwa maharusi wameingia mitini
Mwenyekiti wa kamati akiwa na wanakamati wenzake wasijue cha kufanya wakati wa sherehe hizo muda huu
Shampeni ikiwa ina elekea kufunguliwa pasipo na maharusi 
Waalikwa katika Sherehe hizo wakiendelea kuburudika pasipo na maharusi

Mwandishi mkuu wa Mbeya yetu yupo live sasa  ukumbini hapo
Msemaji wa Familia akitoa utambulisho
Mama mzazi wa bwana harusi akitambulishwa bila maharusi
Picha zote na Mbeya yetu

No comments: