MKAZI WA MWANZA BW.REVOCATUS MKAMA AMEJISHINDIA SHILINGI MILIONI 10 KWENYE PROMOSHENI YA M PESA YA VODACOM TANZANIA
Meneja Mahusiano wa Vodacom Tanzania Bw.Matina Nkurlu akionesha nambari
ya Mshindi wa Droo kubwa ya mwezi ya kumpata mshindi wa Milioni 10 wa
promosheni ya M-PESA,ambapo Mkazi wa Kitangiri Mkoani Mwanza
Bw.Revocatus Mkama amejishindia fedha hizo,wanaoshuhudia kushoto ni
Mkaguzi wa bodi ya michezo ya kubahatisha nchini Bw. Bakari Maggid,kulia
ni Mtaalamu wa huduma za ziada kwa wateja wa Vodacom Bi. Reenu Verma.
No comments:
Post a Comment