Saturday, April 14, 2012

MKAZI WA MWANZA BW.REVOCATUS MKAMA AMEJISHINDIA SHILINGI MILIONI 10 KWENYE PROMOSHENI YA M PESA YA VODACOM TANZANIA

Meneja Mahusiano wa Vodacom Tanzania Bw.Matina Nkurlu akionesha nambari ya Mshindi wa Droo kubwa ya mwezi ya kumpata mshindi wa Milioni 10 wa promosheni ya M-PESA,ambapo Mkazi wa Kitangiri Mkoani Mwanza Bw.Revocatus Mkama amejishindia fedha hizo,wanaoshuhudia kushoto ni Mkaguzi wa bodi ya michezo ya kubahatisha nchini Bw. Bakari Maggid,kulia ni Mtaalamu wa huduma za ziada kwa wateja wa Vodacom Bi. Reenu Verma.

No comments: