Monday, April 30, 2012

SIKU DIAMOND ALIPOKWENDA DAR LIVE KW HELIKOPTA

 
Jana ilikuwa ni siku ya kihistoria kwa msanii aliye hot Bongo kwa sasa na kinara wa tuzo za Kili 2012, 'Diamond Platinum'. Alifanya shoo ya kihistoria kwenye Uwanja wa Taifa wa burudani, Dar Live, uliyoko Mbagala jijini Dar es salaam kwa kwenda na helikopta, akiwa msanii wa kwanza nchini kufanya hivyo. Hapa anaonekana akiwa Uwanja wa Ndege Terminal One akielekea kwenye Helikopta tayari kwa safari
....akisindikizwa na Rubani wake kuelekea kwenye helikopta
....akitoa 'saluti; kabla ya ndege kupaa kuelekea kiwanja cha Dar Live, Mbagala
 
.....akisali kumuomba Mungu amfikishe salama
 
...Helikopta ikiwa mita chache juu wa Dar Live ikizunguruka, ambapo Diamond alisalimia mashabiki akiwa angani kwa kutumia 'Wireless Mic'
 
....Uwanja wa Taifa wa Burudani wa Dar Live unavyoonekana kwa juu
.....Platinum akitua katika uwanja wa Dar Live!
....mashabiki wa Diamond wakionekana kupagawa kwa furaha baada ya kutua na kumuona
 
...Diamond akiagana na rubani wakati helikopta ikipaa angani, mkononi akiwa ameshika Mic yake
..Helikopta ikiondoka...
....Diamond akiwa ndani ya Mercedes Benz mara baada ya kutua
 
....Diamond akishuka kutoka kwenye gari tayari kwa shoo...stay tuned!

...Diamond akifanya vitu vyake, akiwa amevalia staili ya US Marine.
...ilikuwa ni shoo iliyopandisha mzuka wa mashabiki kupita kawaida
....Diamond na dancers wake kazini..
...katika shoo zote za Dar Live, Diamond amevunja rekodi ya idadi ya mashabiki
...Diamond Full mzuka!
...hii ndivyo ilivyokuwa Dar Live usiku wa kuakia leo!
...dancers wa Diamond wakifanya vitu vyao:

WAFUATAO NI WASANII WALIOMSINDIKIZA DIAMOND PLATINUM:
Bwana Misosi....
...Wakali Dancers
...licha ya mvua kunyesha wakati fulani, mashabiki hawakukubali kuondoka bila kumuona Diamond!
.....licha ya kimvua, burudani ziliendelea kama kawa...Michael Jackson wa Bongo akifanya vitu vyake
.....msanii Tumbulo akiingia kistaili jukwaani
.....Timbulo akifanya vitu na dancers wake
....Timbulo akiwa juu ya jukwaa..
...wasanii wa Pah One, Watanzania wenye maskani yao Afrika Kusini wakifanya vitu vyao
...mmoja wa wasanii wanaounda kundi la Pah One
....mashabiki wakiwa full mzuka!




No comments: