Friday, October 25, 2013

Wakali wa town Skylight Band wagawa mafedha na complimentary kwa warembo

DSC_0255
Joniko Flower akiongoza safu ya Skylight Band kutoa burudani kwa mashabiki wao Ijumaa iliyopita ndani ya kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar.
DSC_0268
Uzao wa Bongo Star Search binti mwenye kipaji cha aina yake Mary Lucos akiwapa raha mashabiki wa Skylight Band.
DSC_0273
Mshabiki wa Skylight Band wakijimwaga taratibu kwa kujinafasi Njoo leo jioni pale Thai Village ule Bata na Skylight Band.
DSC_0274
Kipaji kingine ndani ya Skylight Band Aneth Kushaba AK47 akifanya yake jukwaani huku akipewa sapoti na Mary Lucos.
DSC_0256
Digna na Aneth Kushaba AK47 wakitoa burudani kwa mashabiki wa Skylight Band.
DSC_0284
Band ya Ukweli na ya kisasa inayogusa rika zote na muziki wa kila aina Skylight Band......Mashabiki wa Skylight Band wakijinafasi.
DSC_0289
Ukawadia ule wakati wa kugawa pesa na complimentary kwa mwanadada atakayecheza Style ya Titi .....titi.....titi....! inayotolewa mfaano na Aneth Kushaba AK 47 kwenye kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar.
DSC_0294
Mwanadada akionyesha ufundi wake wa kucheza style hiyo.
DSC_0301
Mwingine nae huyo.....
DSC_0327
Mdau alione hata hii ni motisha Skylight Band inafanya vizuri na kuamua kuwaunga mkono kwa kujitolea fedha taslimu shilingi 50,000/= kama zawadi kwa watakaocheza vizuri, jumla ya shilingi 200,000/= zilitolewa kwa wadada wanne waliocheza vizuri.
DSC_0329
Aneth kushaba akitoke kupokea fedha hizo kwa mdau.
DSC_0330
Aneth Kushaba AK47 na Joniko Flower wakizehesabu fedha hizo huku shabiki wa Skylight Band akisubiria kuzungusha nyonga.
DSC_0344
Hapo sasa twende kazi.
DSC_0370
Utamu wa Skylight Band unapokelea ndio kama hivi.
DSC_0335
Joniko Flower akiwauliza mashabiki tuwape tusiwape....wanajua hawajui....hawa walikuwa miongoni mwa waliojishindia kitita cha shilingi 50,000/= kila mmoja.
DSC_0336
Aneth Kushaba AK 47 akitoka kuchukua mzigo mwingine kutoka kwa Jembe....Je unamfahamu Jembe ni nani????.
DSC_0371
Mheshimiwa Bindala alikunwa sana na uchezaji wa huyu dada na kuamua kmwongezea mafedha.
DSC_0376
Joniko akimpa haki yake shabiki aliyecheza vizuri.
DSC_0389
Nyomi ya mashabiki wa Skylight Band wakifurahia zoezi hilo lililoonekana kuwavutia wengi kwa vicheko na vifijo.
DSC_0379
Huyu ndio aliyefunga dimba la zoezi hilo.
DSC_0390
Akipewa haki yake baada ya zoezi hilo.
DSC_0264
Reggae time.......Burudani iliendelea Sam Mapenzi na Aneth Kushaba AK47 wakifanya yao jukwaani. DSC_0282
Mashabiki wakijiachia kwa raha zao....Skylight Band ndio wakali wa town....tukutane pale kati leo jioni.
DSC_0396
Kutoka kushoto ni Mheshimiwa Bunda, Digna wa Skylight Band na mdau Emmanuel.
DSC_0249
Mdau Victo Maginga (kushoto) akiwa na wadau wa Skylight Band.
DSC_0243
Backstage ya wasanii.

No comments: