Sunday, July 20, 2014

KAMPUNI YA MONTAGE YAFUTARISHA WAOTO YATIMA WA KITUO CHA SOS VILLAGE

4a
Mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya Montage ya jijini Dar es salaam akiwagawia watoto yatima wa kituo cha kulelea watoto cha SOS Village kikilchoko Sinza barabara ya Sam Nujoma alipowakaribisha kwa futari kwenye ofisi za kampuni hiyo zilizoko Kindondoni juzi ikiwa ni moja ya maelengo ya kampuni hiyo kuwakumbuka watoto yatima na kuwakarimu wakati huu wa mwezi mtukufu wa Ramadhan.
5a
Anitha Pangani mfanyakazi wa kampuni ya Montage akiwagawia watoto chakula wakati wa futari hiyo iliyoandaliwa na kampuni ya Montage.
6a
Watoto wakiendelea kupata chakula
7a
Watoto wakifuturu
8a 9a
Baadhi ya wafanyakazi wa kituo hicho wakishiriki katika futari hiyo pamoja na watoto.
11a
Mtoto Naijo Nestor Mapunda akifuturu pamoja na watoto wenzake wa kituo cha SOS Village Sinza.
13a
Watoto wakipaku chakula

No comments: