Sunday, October 4, 2015

MAMA SAMIA AMALIZA ZIARA SIMIYU

 Kinamama wa mkoa wa Simiyu, wakimtawaza kuwa Mama Kiongozi wa Wasukuma, kwa kumvalisha mavazi rasmi Mgombea Mwenza wa Urais kwa timeti ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan, wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo la Maswa Mashariki mkoani humo leo. Jimbo hilo lilikuwa chini ya Mbunge wa Chadema, Kasulumbai
 Kinamama wa mkoa wa Simiyu, wakimtawaza kuwa Mama Kiongozi wa Wasukuma, kwa kumvalisha mavazi rasmi Mgombea Mwenza wa Urais kwa timeti ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan, wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo la Maswa Mashariki mkoani humo leo. Jimbo hilo lilikuwa chini ya Mbunge wa Chadema, Kasulumbai

 Kinamama wa mkoa wa Simiyu, wakimtawaza kuwa Mama Kiongozi wa Wasukuma, kwa kumvalisha mavazi rasmi Mgombea Mwenza wa Urais kwa timeti ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan, wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo la Maswa Mashariki mkoani humo leo. Jimbo hilo lilikuwa chini ya Mbunge wa Chadema, Kasulumbai
 Kinamama wa mkoa wa Simiyu, wakimtawaza kuwa Mama Kiongozi wa Wasukuma, kwa kumvalisha mavazi rasmi Mgombea Mwenza wa Urais kwa timeti ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan, wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo la Maswa Mashariki mkoani humo leo. Jimbo hilo lilikuwa chini ya Mbunge wa Chadema, Kasulumbai
  Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan, baada ya kutazwa kuwa Mwanamke Kiongozi wa Wasukuma, kwa kuvalishwa mavazi rasmi wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo la Maswa Mashariki mkoani humo leo. Jimbo hilo lilikuwa chini ya Mbunge wa Chadema, Kasulumbai
 Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan, baada ya kutazwa kuwa Mwanamke Kiongozi wa Wasukuma, kwa kuvalishwa mavazi rasmi wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo la Maswa Mashariki mkoani humo leo. Jimbo hilo lilikuwa chini ya Mbunge wa Chadema, Kasulumbai
 Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan, baada ya kutazwa kuwa Mwanamke Kiongozi wa Wasukuma, kwa kuvalishwa mavazi rasmi wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo la Maswa Mashariki mkoani humo leo. Jimbo hilo lilikuwa chini ya Mbunge wa Chadema, Kasulumbai
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan, akihutubia umati wa wananchi katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo la Maswa Mashariki mkoani humo leo. Jimbo hilo lilikuwa chini ya Mbunge wa Chadema, Kasulumbai
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan, akiwasili kuhutubia mkutano wa kampeni leo katika jimbo la Maswa Mashariki mkoani Simiyu leo
Aliyekuwa mgombea Ubunge jimbo la Nkenge na kushindwa katika kura za maoni za CCM, Mama Asupta Mshama, akihutubia mkutano wa kampeni uliofanyika katika jimbo la Maswa Mashariki mkoani Simiyu leo
Wananchi wakimshangilia mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan alipohutubia mkutano wa kampeni leo katika jimbo la Maswa Mashariki leo
Mwananchi akiwa amembeba mtoto wake ili kumuona Mama Samia Katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo jimbo la Maswa Mashariki mkoani Simiyu leo
Mgombea Ubunge jimbo la Meatu, Salum Hamis Salum, akiomba kura wakati wa mkutano wa kampeni wa Mama Samia uliofanyika leo katika jimbo hilo mkoani Simiyu
Kijana akimshangilia Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo la Meatu
Baadhi ya wananchi wakiwa juu ya mti ili kumuona vizuri mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo la Meatu mkoani Simiyu
Wananchi wakimshangilia Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo la Meatu mkoani Simiyu
Wananchi wakifikisha ujumbe kwa Mama Samia kwa njia ya mabango, wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo la Meatu mkoani Simiyu
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akimnadi Mgombea Ubunge jimbo la Meatu  Salum Hamis Salum katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo hilo
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akimsikilza kwa makini Fatuma Maselle, baada ya kuhutubia mkutano wa kampeni leo katika jimbo la Meatu mkoani Simiyu leo. PICHA ZOTE NA BASHIR NKOROMO

No comments: